Zimbabwe frees 14 opposition activists jailed for months
The members of the main opposition Citizens Coalition for Change (CCC) were arrested along with leading lawmakers Job Sikhala and Godfrey Sithole on June 14.
The members of the main opposition Citizens Coalition for Change (CCC) were arrested along with leading lawmakers Job Sikhala and Godfrey Sithole on June 14.
Alisema Kenya ina mpango wa kuzalisha MW 10,000 kutoka kwa rasilimali ya jotoardhi, na MW 20,000 kutoka kwa jua na upepo
Hii ilifuatia visa ambapo madereva wa lori walibeba watu kutoka wilaya hizo mbili kutoroka kutoka maeneo yaliyozuiliwa
Kyiv imewataka viongozi barani Afrika kuwazuia raia wao wasijihusishe na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, siku moja baada ya Zambia kusema kuwa mmoja wao aliuawa
Ufukuaji wa maiti ni nadra nchini Uganda na mara nyingi umekuwa ukihusishwa na shughuli za kitamaduni katika baadhi ya maeneo ya mbali nchini humo
Takwimu zilizotolewa leo na WHO kanda ya Afrika zinaonyesha kiwango cha changamoto ya ugonjwa wa kisukari Afrika ni kikubwa ambapo watu wazima milioni 24 hivi sasa wanaishi na ugonjwa wa kisukari na idadi inatarajiwa kuongezeka kwa asilimia 129% hadi kufikia watu million 55 ifikapo mwaka 2045.
Wilaya ya Mubende, iliyosajili kesi ya kwanza, imepoteza watu 29 kati ya vifo 54 vilivyosajiliwa
Kenyan soldiers landed in Goma on Saturday as part of a regional military operation, while Congolese forces clashed with M23 rebels north of the city
Afrika Kusini imeondoa masharti ya visa kwa Wakenya wanaosafiri kwenda taifa hilo la kusini mwa Afrika kuanzia Januari 2023 kwa muda wa siku 90 kila mwaka
Jaji Anna Mwaure siku ya Jumanne aliamuru “marubani wa Kenya Airways kurejelea majukumu yao kama marubani ifikapo saa 12 asubuhi tarehe 9 Novemba 2022 bila masharti”