• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Ndolezi atia nia kuwania ubunge Kigoma Kusini
East Africa Politics Tanzania

Ndolezi atia nia kuwania ubunge Kigoma Kusini

Asia GambaJanuary 20, 2025

Ameeleza pia msukumo wake wa  kutia nia ya kugombea nafasi hiyo umetokana na changamoto wananchi wanazopitia.

Tanzania:Sampuli zilizochukuliwa hazijathibitisha uwepo wa virusi vya Murburg
East Africa Lifestyle & Health Tanzania

Tanzania:Sampuli zilizochukuliwa hazijathibitisha uwepo wa virusi vya Murburg

Asia GambaJanuary 16, 2025

Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema mpaka January 15, 2025, majibu ya uchunguzi wa kimaabara kutoka kwa Wahisiwa wa Ugonjwa wa Marburg waliochukuliwa sampuli hizo hayajathibisha uwepo wa virusi hivyo.

Eight Dead in Suspected Marburg Outbreak in Tanzania: WHO
Africa East Africa Lifestyle & Health People Tanzania

Eight Dead in Suspected Marburg Outbreak in Tanzania: WHO

Mwanzo EditorJanuary 15, 2025January 15, 2025

The WHO said Tuesday that a suspected outbreak of the deadly Marburg virus in Tanzania had killed eight people, warning that the risk of further spread in the country and region was “high”.

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne
Development Tanzania

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne

Asia GambaNovember 20, 2024

Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo

Asia GambaNovember 20, 2024

Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao
Africa East Africa Politics Tanzania

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao

Asia GambaNovember 20, 2024

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo. 

Kiongozi wa Upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, adaiwa kutekwa akiwa nchini Kenya.
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa Upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, adaiwa kutekwa akiwa nchini Kenya.

Asia GambaNovember 20, 2024

Mamlaka ya Uganda, ambayo ilisema kuwa zinachunguza taarifa za kupotea kwa Besigye, zimekuwa zikifanya ukandamizaji dhidi ya upinzani katika miezi ya hivi karibuni, kwa kuwakamata viongozi mashuhuri na kuwashtaki wanachama wa vyama vya upinzani.

CDC:Maambukizi ya Mpox yamepungua kidogo Barani Afrika
Africa Lifestyle & Health

CDC:Maambukizi ya Mpox yamepungua kidogo Barani Afrika

Asia GambaNovember 8, 2024

Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Umoja wa Afrika Jean Kaseya amesema maambukizi ya mpox yamepungua kidogo barani Afrika, ingawa bado janga hilo halijaisha.

Msumbiji yatuma Wanajeshi kabla ya maandamano kuanza leo
Africa Politics

Msumbiji yatuma Wanajeshi kabla ya maandamano kuanza leo

Asia GambaNovember 7, 2024

Wanajeshi na polisi walikuwa wakifanya doria katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo, mapema leo Alhamisi, kabla ya maandamano yaliyopangwa ya kupinga matokeo ya uchaguzi ambayo upinzani unadhani yana udanganyifu.

Mitandao ya Kijamii yafungwa  nchini Mozambique katikati ya maandamano ya uchaguzi
Africa Politics

Mitandao ya Kijamii yafungwa nchini Mozambique katikati ya maandamano ya uchaguzi

Asia GambaOctober 31, 2024

Upatikanaji wa mitandao ya kijamii nchini Mozambique umekuwa na vizuizi kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, taarifa kutoka kwa shirika la kimataifa linalofuatilia masuala ya mtandao ilisema, wakati upinzani ukitoa wito wa mgomo wa kitaifa kufuatia uchaguzi wa rais uliozua utata.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo