• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Kiongozi wa Upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, adaiwa kutekwa akiwa nchini Kenya.
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa Upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, adaiwa kutekwa akiwa nchini Kenya.

Asia GambaNovember 20, 2024

Mamlaka ya Uganda, ambayo ilisema kuwa zinachunguza taarifa za kupotea kwa Besigye, zimekuwa zikifanya ukandamizaji dhidi ya upinzani katika miezi ya hivi karibuni, kwa kuwakamata viongozi mashuhuri na kuwashtaki wanachama wa vyama vya upinzani.

CDC:Maambukizi ya Mpox yamepungua kidogo Barani Afrika
Africa Lifestyle & Health

CDC:Maambukizi ya Mpox yamepungua kidogo Barani Afrika

Asia GambaNovember 8, 2024

Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Umoja wa Afrika Jean Kaseya amesema maambukizi ya mpox yamepungua kidogo barani Afrika, ingawa bado janga hilo halijaisha.

Msumbiji yatuma Wanajeshi kabla ya maandamano kuanza leo
Africa Politics

Msumbiji yatuma Wanajeshi kabla ya maandamano kuanza leo

Asia GambaNovember 7, 2024

Wanajeshi na polisi walikuwa wakifanya doria katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo, mapema leo Alhamisi, kabla ya maandamano yaliyopangwa ya kupinga matokeo ya uchaguzi ambayo upinzani unadhani yana udanganyifu.

Mitandao ya Kijamii yafungwa  nchini Mozambique katikati ya maandamano ya uchaguzi
Africa Politics

Mitandao ya Kijamii yafungwa nchini Mozambique katikati ya maandamano ya uchaguzi

Asia GambaOctober 31, 2024

Upatikanaji wa mitandao ya kijamii nchini Mozambique umekuwa na vizuizi kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, taarifa kutoka kwa shirika la kimataifa linalofuatilia masuala ya mtandao ilisema, wakati upinzani ukitoa wito wa mgomo wa kitaifa kufuatia uchaguzi wa rais uliozua utata.

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar

Asia GambaOctober 28, 2024October 28, 2024

Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
Arts & Culture East Africa Tanzania

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.

Asia GambaOctober 28, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wahakikishe wanalinda utamaduni na kujenga misingi ya kuhamasisha vijana na vizazi vijavyo kutambua na kuenzi historia na urithi wa Mtanzania.

Climate Change Worsened Deadly Africa Floods, Scientists Say
Africa Climate change Natural disasters People

Climate Change Worsened Deadly Africa Floods, Scientists Say

Mwanzo EditorOctober 23, 2024November 18, 2024

A new analysis by the World Weather Attribution (WWA) network of scientists found warming driven by the use of fossil fuels had exacerbated the flooding in Sudan.

Polisi nchini Msumbuji  watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji
Africa Politics

Polisi nchini Msumbuji watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji

Asia GambaOctober 21, 2024

Polisi nchini Msumbiji walitumia gesi ya kutoa machozi leo Jumatatu kutawanya umati mdogo katika mji wa Maputo, ambapo maduka yalikuwa yamefungwa kabla ya maandamano yaliyoandaliwa kupinga udanganyifu wa uchaguzi. 

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria
Africa Social Issues

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria

Asia GambaOctober 16, 2024

Wengi wa wahanga walikuwa wakijaribu kukusanya mafuta yaliyomwagika barabarani baada ya tanki hilo kugonga katika jimbo la Jigawa, kaskazini mwa Nigeria.

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji
Africa Politics

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji

Asia GambaOctober 10, 2024

Zaidi ya watu milioni 17 walipiga kura siku ya Jumatano kwa ajili ya uchaguzi wa rais mpya na wabunge katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, ambayo ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani licha ya kuwa na akiba kubwa ya gesi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo