Ndolezi atia nia kuwania ubunge Kigoma Kusini
Ameeleza pia msukumo wake wa kutia nia ya kugombea nafasi hiyo umetokana na changamoto wananchi wanazopitia.
Ameeleza pia msukumo wake wa kutia nia ya kugombea nafasi hiyo umetokana na changamoto wananchi wanazopitia.
Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema mpaka January 15, 2025, majibu ya uchunguzi wa kimaabara kutoka kwa Wahisiwa wa Ugonjwa wa Marburg waliochukuliwa sampuli hizo hayajathibisha uwepo wa virusi hivyo.
The WHO said Tuesday that a suspected outbreak of the deadly Marburg virus in Tanzania had killed eight people, warning that the risk of further spread in the country and region was “high”.
Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.
Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo.
Mamlaka ya Uganda, ambayo ilisema kuwa zinachunguza taarifa za kupotea kwa Besigye, zimekuwa zikifanya ukandamizaji dhidi ya upinzani katika miezi ya hivi karibuni, kwa kuwakamata viongozi mashuhuri na kuwashtaki wanachama wa vyama vya upinzani.
Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Umoja wa Afrika Jean Kaseya amesema maambukizi ya mpox yamepungua kidogo barani Afrika, ingawa bado janga hilo halijaisha.
Wanajeshi na polisi walikuwa wakifanya doria katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo, mapema leo Alhamisi, kabla ya maandamano yaliyopangwa ya kupinga matokeo ya uchaguzi ambayo upinzani unadhani yana udanganyifu.
Upatikanaji wa mitandao ya kijamii nchini Mozambique umekuwa na vizuizi kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, taarifa kutoka kwa shirika la kimataifa linalofuatilia masuala ya mtandao ilisema, wakati upinzani ukitoa wito wa mgomo wa kitaifa kufuatia uchaguzi wa rais uliozua utata.