• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Ghasia zaibuka Nairobi: Kifo cha Mwalimu mikononi mwa Polisi chazua hasira mpya
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Ghasia zaibuka Nairobi: Kifo cha Mwalimu mikononi mwa Polisi chazua hasira mpya

Asia GambaJune 12, 2025

Jeshi la polisi nchini Kenya limetumia mabomu ya machozi leo Alhamisi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakilaani mauaji ya mwalimu mmoja aliyefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi, hali iliyotishia kufunika juhudi za serikali kuwasilisha bajeti mpya bila kuchochea ghasia kama za mwaka uliopita.

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14
East Africa Politics Tanzania

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14

Asia GambaJune 10, 2025

Zuio hilo linatokana na kesi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili ambayo imetolewa uamuzi leo na Jaji Hamidu Mwanga.

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani

Asia GambaJune 5, 2025

Kwa mujibu wa CHADEMA, Msajili wa Vyama vya Siasa amekiuka Katiba kwa kudai kuwa uteuzi wa viongozi wa CHADEMA una dosari za kikatiba, akitaka nafasi hizo kujazwa upya huku akipuuzia mamlaka halali ya vikao vya chama vilivyoteua na kuthibitisha viongozi hao kwa mujibu wa Katiba ya chama.

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa
Crime & Justice East Africa Gender Kenya Rights & Freedoms Social Issues

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa

Asia GambaMay 14, 2025

Amnesty International yafichua mateso makali wanayopitia wanawake wa Kenya wanaofanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, ikiwemo ubakaji, ubaguzi wa rangi, njaa, na utumwa wa kisasa unaofanyika chini ya mfumo wa Kafala.

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC
East Africa Politics Tanzania

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC

Asia GambaMay 12, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanzishwa kwa majimbo mapya nane ya uchaguzi pamoja na kubadilishwa kwa majina ya majimbo mengine 12, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Lissu alaani shambulio dhidi ya Padre Kitima na Mdude akiwa gerezani
East Africa Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Lissu alaani shambulio dhidi ya Padre Kitima na Mdude akiwa gerezani

Asia GambaMay 3, 2025

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Antiphas Lissu Mwenyekiti wa Chadema na mwanasiasa maarufu wa upinzani, Tundu Antiphas Mughwai Lissu,  akiwa…

WHO Advocates For Malaria Elimination as It Remains Major Public Health Challenge
Africa International Lifestyle & Health

WHO Advocates For Malaria Elimination as It Remains Major Public Health Challenge

Wadh KassimApril 25, 2025

The African region bears the highest burden, accounting for 95% of global malaria cases. WHO is advocating for strong political commitment, sustained investment, and community engagement to accelerate elimination efforts.

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya  kugombea Urais
Africa Politics

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya kugombea Urais

Asia GambaApril 23, 2025

Thiam, ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa kiongozi wa chama cha Democratic Party of Ivory Coast (PDCI), ameondolewa kwa madai kuwa alipoteza uraia wa Ivory Coast baada ya kupata uraia wa Ufaransa mwaka 1987.

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”
Africa East Africa People Religion Social Issues

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”

Asia GambaApril 21, 2025

Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88. 

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12
East Africa Education Tanzania

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12

Asia GambaApril 8, 2025

Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy