• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar

Asia GambaOctober 28, 2024October 28, 2024

Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
Arts & Culture East Africa Tanzania

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.

Asia GambaOctober 28, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wahakikishe wanalinda utamaduni na kujenga misingi ya kuhamasisha vijana na vizazi vijavyo kutambua na kuenzi historia na urithi wa Mtanzania.

Climate Change Worsened Deadly Africa Floods, Scientists Say
Africa Climate change Natural disasters People

Climate Change Worsened Deadly Africa Floods, Scientists Say

Mwanzo EditorOctober 23, 2024November 18, 2024

A new analysis by the World Weather Attribution (WWA) network of scientists found warming driven by the use of fossil fuels had exacerbated the flooding in Sudan.

Polisi nchini Msumbuji  watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji
Africa Politics

Polisi nchini Msumbuji watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji

Asia GambaOctober 21, 2024

Polisi nchini Msumbiji walitumia gesi ya kutoa machozi leo Jumatatu kutawanya umati mdogo katika mji wa Maputo, ambapo maduka yalikuwa yamefungwa kabla ya maandamano yaliyoandaliwa kupinga udanganyifu wa uchaguzi. 

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria
Africa Social Issues

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria

Asia GambaOctober 16, 2024

Wengi wa wahanga walikuwa wakijaribu kukusanya mafuta yaliyomwagika barabarani baada ya tanki hilo kugonga katika jimbo la Jigawa, kaskazini mwa Nigeria.

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji
Africa Politics

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji

Asia GambaOctober 10, 2024

Zaidi ya watu milioni 17 walipiga kura siku ya Jumatano kwa ajili ya uchaguzi wa rais mpya na wabunge katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, ambayo ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani licha ya kuwa na akiba kubwa ya gesi.

Raia wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais mpya
Africa Politics Social Issues

Raia wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais mpya

Asia GambaOctober 9, 2024

Uchaguzi huu unakuja katikati ya mvutano wa kisiasa katika taifa hilo la kusini mwa Afrika, ambalo linakabiliwa na viwango vya juu vya umasikini na ukosefu wa usawa, huku ghasia za kiusalama kaskazini zikizuia miradi mikubwa ya gesi.

Rais Samia awaonya Mabalozi waliotoa tamko kulaani mauaji ya Kibao
East Africa Politics Tanzania

Rais Samia awaonya Mabalozi waliotoa tamko kulaani mauaji ya Kibao

Asia GambaSeptember 17, 2024

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa mabalozi waliotoa tamko kulaani mauaji ya kibao nchini, akisema kuwa Tanzania haitahitaji maelekezo kutoka kwa mtu yeyote kuhusu jinsi ya kuendesha mambo yake ya ndani.

Rais wa Afrika Kusini kuweka wazi mipango mipya ya serikali
Africa Politics

Rais wa Afrika Kusini kuweka wazi mipango mipya ya serikali

Asia GambaJuly 18, 2024August 5, 2024

Wiki chache baada ya kupiga kura, ANC ilifikia makubaliano ya kugawana madaraka ambayo hayajawahi kufanywa na vyama vingine 10, ikijipatanisha na mrengo wa kati katika hatua ambayo baadhi ya wachambuzi walisema ingewahakikishia wawekezaji.

Tanzania, Marekani kuongeza nguvu ya pamoja kukabiliana na ugonjwa wa Saratani
Lifestyle & Health Tanzania

Tanzania, Marekani kuongeza nguvu ya pamoja kukabiliana na ugonjwa wa Saratani

Asia GambaJuly 16, 2024

Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja na Ubunifu ili kuwezesha wananchi wa Afrika kupata huduma bora za Saratani bila kikwazo. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo