Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?
Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.
Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.
CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu.
Kuchukuliwa kwa mji wa Walikale wenye wakazi takriban 60,000 mwishoni mwa siku ya Jumatano kunashiria kwamba kundi hili la wapiganaji limefika sehemu ya mbali kabisa magharibi kutoka eneo lao la awali tangu lilipojitokeza mwaka 2012.
Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.
Hoja ya mgawanyo wa majimbo ya Uchaguzi ijadiliwe kwa mapana yake
Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.
Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.
Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.
Katika mahojiano alipoitembelea Kinshasa, Mwendesha Mashtaka Khan alikubali kushindwa kwa mfumo wa haki za kimataifa kuzuia ukatili wa kutisha ambao umekuwepo kwa miongo kadhaa katika eneo hili na kusema kuwa yeye ni “ana masikitiko makubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia.”
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi hiyo tangu mwezi Januari, wakati kundi la M23 lililokuwa likiungwa mkono na Rwanda lilipochukua miji miwili mikubwa.