South Africa’s Key Players in the Upcoming Election
More than 50 parties are vying to win seats in parliament, which then appoints the president.
More than 50 parties are vying to win seats in parliament, which then appoints the president.
Miaka kumi baada ya utekaji nyara wa wasichana wa shule ya Chibok, Nigeria inakabiliwa na kuzuka kwa utekaji nyara mkubwa.
Zaidi ya marais 10 wamefariki kutokana na ajali za ndege
Watu tisa wakiwemo watoto waliokolewa katika operesheni ya kumsaka kamanda huyo. Watu hao walipatikana mkoani Ituri Mashariki mwa DRC. Bidhaa za kutengenezea mabomu pia zilipatikana huko katika harakati ya kufanya msako huo.
Ethiopia’s Ministry of Foreign Affairs denounced the speech on Thursday, saying it contained “allegations against, and unsolicited advice to the Government of Ethiopia.”
Jumla ya watu 670,000, ni raia wa taifa jirani la Sudan, ambao walikimbilia taifa la Sudan Kusini kutokana na vita vinavyoendelea katika taifa hilo. Asilimia 80 kati yao ni raia wa Sudan Kusini, ambao walikuwa wameenda Sudan kutafuta hifadhi.
Maporomoko hayo yalitokea Jumanne usiku wakati baadhi ya waathiriwa walikuwa wakielekea nyumbani baada ya shughuli za siku walipofunikwa na vifusi ambayo yanasemekana kusababishwa na mvua kubwa ya mafuriko yaliyonyesha katika eneo hilo.
There are over 570 undersea cables globally, with submarine cables providing 90% of Africa’s internet needs.
Katika nafasi ya pili, bingwa huyo aliweza kufuatiwa kwa karibu na Muingereza Jemma Reekie (1:58.42), Benin Noelie Yarigo wa uingereza (1:58.70) katika nafasi ya tatu, Muethiopia Habitam Alemu (1:59.08) katika nafasi ya nne na bingwa wa dunia mwaka 2019 Halimah Nakaayi kutoka Uganda (1:59.48) akatwaa nafasi ya tano, mtawalia. Mbio hizo ziliwahusisha wanariadha 11.
Dedy Itno amejizolea asilimia 61 za kura huku Succes Masra akijizolea asilimia 18.5, matokeo ambayo upinzani ukiongozwa na mgombea mwenza mkuu, Succes Masra wametofautiana na matokeo hayo.