Burkina’s new parliament opens after coup
Burkina Faso’s new legislative assembly opened on Friday with a call for self-sacrifice by the 71 members appointed by the junta that seized power a month ago
Burkina Faso’s new legislative assembly opened on Friday with a call for self-sacrifice by the 71 members appointed by the junta that seized power a month ago
Mitaa ya mji mkuu wa Burkina Faso Ouagadougou zimesalia kimya jumatatu baada ya makabiliano kati ya makundi mbili hasimu ya kijeshi.
A rescue worker said the hope was that the eight, who had been working at a depth of 700 metres (2,300 feet), had been able to reach a “survival room”.
Compaore anashtakiwa bila kuwepo mahakamani kwa tuhuma za kushambulia usalama wa serikali, kuficha maiti na kushiriki katika mauaji.
Burkina Faso imekuwa mwanachama wa tatu wa Jumuiya ya ECOWAS kukumbwa na mapinduzi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita
Ghasia zilizotokana na mapinduzi zisababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban milioni 1.5 kukimbia makazi yao.
Sankara na wenzake 12 waliuawa kwa kupigwa risasi na kikosi cha washambuliaji mnamo Oktoba 15, 1987,
Asilimia 40 ya wakazi wa Burkinabe wanaishi maisha ya uchochole kulingana na Benki ya Dunia.
Burkina Faso inaungana na nchi nyingine mbili za ECOWAS — Mali na Guinea — ambapo kumekuwa na mapinduzi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.
Mapinduzi ya hivi karibuni yamesababisha hali ya sintofahamu Afrika Magharibi, ambapo kumekuwa na mapinduzi Mali na Guinea