Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi
Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.
Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.
Ouedraogo mwenye umri wa miaka 53, ambaye uteuzi wake ulikuja kwa amri iliyotiwa saini na Rais Damiba, ameongoza kampuni ya ushauri na ukaguzi wa hesabu tangu 2007.
Former President Roch Kabore was forced out following a wave of public anger at his handling of a long-running jihadist insurgency.
Siku ya Jumanne, Damiba alitia saini kinachojulikana kama katiba ya mpito ambayo inasema uchaguzi utafanyika miezi 36 baada ya kuapishwa kwake.
Paul-Henri Sandaogo Damiba alitawazwa kuwa rais siku ya Jumatano, zaidi ya wiki tatu tu baada ya kuongoza mapinduzi ya kumuondoa madarakani Rais Roch Marc Christian Kabore.
On January 24, disgruntled officers led by Damiba forced out the country’s elected president, Roch Marc Christian Kabore.
Damiba ataapishwa Februari 16 katika mji mkuu wa Ouagadougou.
Compaore is accused of masterminding the assassination of revolutionary leader Thomas Sankara.
“Seven thousand Burkinabes have arrived in… Ivory Coast since May last year,” UNHCR spokesman Boris Cheshirkov said.
The junta’s leader Paul-Henri Sandaogo Damiba has in the past week been in talks with international organisations.