Rwanda-backed M23 advances in DRC as volunteers rally to fight back
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
SAMIDRC “is not a peacekeeping force, and it has no place in this situation”.
The president of crisis-hit Democratic Republic of Congo was set to meet his Rwandan counterpart at an emergency summit on Wednesday, as fighters backed by Kigali appeared on the brink of seizing the key city of Goma.
Gunshots rang out on Tuesday through parts of the besieged DR Congo city of Goma, where Congolese soldiers have clashed with militia fighters backed by Rwandan troops, while furious protesters attacked embassies in the capital Kinshasa.
Hasira imechochewa na dhana kwamba MONUSCO, ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), unashindwa kufanya vya kutosha kukomesha mashambulizi ya makundi yenye silaha.
Kundi la M23 ‘March 23 Movement’ lilipata umaarufu wakati liliteka kwa muda mji wa Goma mashariki mwa Congo mwaka 2012 kabla ya kufurushwa katika mashambulizi ya pamoja ya Umoja wa Mataifa na Congo.
Mapigano yameongezeka katika miezi ya hivi karibuni baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kushindwa kuheshimu makubaliano ya mwaka 2009 ambapo jeshi lilipaswa kuwajumuisha wapiganaji hao kwenye jeshi.
Kwa wengi katika kanda hiyo, haikuwa wazi jinsi jeshi lolote jipya la kikanda lingeweza kufanikiwa pale ambapo MONUSCO ilishindwa.
Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wataalamu huru wanaoripoti kwa Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walisema Ijumaa kuwa waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji wa mashariki wa Goma, DR Congo