• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Macky Sall

Viongozi wa ECOWAS waiondolea Mali vikwazo
Africa Features People Politics

Viongozi wa ECOWAS waiondolea Mali vikwazo

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Mali ilifanya mapinduzi Agosti 2020 na Mei 2021, ikifuatiwa na Guinea Septemba 2021 na Burkina Faso mwezi Januari

Senegal: Mahakama yamhukumu mbunge wa upinzani kwa kuendelea na maandamano yaliyopigwa marufuku
Africa Features People Politics

Senegal: Mahakama yamhukumu mbunge wa upinzani kwa kuendelea na maandamano yaliyopigwa marufuku

Maureen MedzaJune 28, 2022June 28, 2022

Mahakama ya Senegal Jumanne ilimkabidhi mbunge wa upinzani kifungo cha miezi sita jela kwa kukaidi marufuku iliyowekwa kwa maandamano wakati wa maandalizi ya uchaguzi wa wabunge

Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi
Africa Features People Politics

Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi

Maureen MedzaJune 2, 2022June 2, 2022

Ziara hiyo iliandaliwa baada ya mwaliko wa Putin, na Sall atasafiri na rais wa Tume ya Umoja wa Afrika

Senegal yawakamata watatu kwa vifo vya watoto wachanga kwenye moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal yawakamata watatu kwa vifo vya watoto wachanga kwenye moto hospitalini

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Mkasa huo ulikuwa wa hivi punde zaidi katika mfululizo wa matukio mabaya yaliyoangazia mapungufu katika mfumo wa afya wa Senegal.

Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo
Africa East Africa Features

Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Mzozo wa kidiplomasia kati ya majirani hao wawili unaongezeka, huku pande zote mbili zikishutumiana kusaidia wanamgambo wenye silaha katika eneo la Goma

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11
Africa Features

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall amemfuta kazi waziri wake wa afya siku ya Alhamisi nchi hiyo ikiomboleza kifo cha watoto 11 katika moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme hospitalini

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.

Mkuu wa Umoja wa Afrika atangaza ziara mjini Moscow, Kyiv
Africa Features People Politics

Mkuu wa Umoja wa Afrika atangaza ziara mjini Moscow, Kyiv

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall alisema atasafiri hadi Urusi na Ukraine hivi karibuni kwa niaba ya Umoja wa Afrika,kama rais wa muungano huo.

Zelensky aomba kuhutubia Umoja wa Afrika
Africa Europe Features People

Zelensky aomba kuhutubia Umoja wa Afrika

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameomba kuhutubia Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall alisema Jumatatu. Sall, mwenyekiti wa…

Afisa wa Senegal asimamishwa kazi kwa matamshi yake juu ya wanawake na Uislamu
Africa Arts & Culture Gender Politics

Afisa wa Senegal asimamishwa kazi kwa matamshi yake juu ya wanawake na Uislamu

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Rais alimuondoa Papa Amadou Sarr kutoka wadhifa wake wa uwaziri kama mjumbe mkuu katika shirika linaloitwa Fast-track Entrepreneurship for Women and Young People

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo