Nigeria’s former president Buhari dead at 82
Buhari governed Nigeria with a strong hand as a military ruler in the 1980s before reinventing himself as a “converted democrat”, serving two terms from 2015 to 2023.
Buhari governed Nigeria with a strong hand as a military ruler in the 1980s before reinventing himself as a “converted democrat”, serving two terms from 2015 to 2023.
Abubakar, mgombea wa chama cha Peoples Democratic Party (PDP) anawania kiti cha urais kwa mara ya sita na atakuwa anakabiliana na mgombea wa chama tawala na gavana wa zamani wa Lagos Bola Tinubu
Atiku Abubakar, mwenye umri wa miaka 75, Muislamu wa kaskazini na mwanasiasa wa chama cha People’s Democratic Party au PDP, amewania mara kadhaa tiketi ya urais wa nchi hiyo
Nigeria itakwenda uchaguzini Februari 2023 kumchagua mrithi wa Rais Muhammadu Buhari ambaye ataondoka uongozini baada ya kuhudumu kwa mihula miwili.
Wanafunzi Waislamu kaskazini magharibi mwa Nigeria walimpiga kwa mawe mwanafunzi Mkristo hadi kufa na kuchoma maiti yake baada ya kumtuhumu kwa kumkufuru Mtume Muhammad
Mamlaka ya Nigeria Jumatatu ilikusanya maiti za watu zaidi ya 100 waliokufa katika mlipuko uliotokea kwenye kiwanda haramu cha kusafishia mafuta kusini mwa nchi hiyo
Buhari, 79, amekumbana na maswali mengi juu ya afya yake baada ya kukaa zaidi ya siku 100 huko London mnamo 2017 akipokea matibabu ya ugonjwa ambao haukujulikana.