• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Muhammadu Buhari

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Abubakar, mgombea wa chama cha Peoples Democratic Party (PDP) anawania kiti cha urais kwa mara ya sita na atakuwa anakabiliana na mgombea wa chama tawala na gavana wa zamani wa Lagos Bola Tinubu

Nigeria: Upinzani umemtaja aliyekuwa Makamu wa Rais kuwa mgombea wa uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Nigeria: Upinzani umemtaja aliyekuwa Makamu wa Rais kuwa mgombea wa uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Atiku Abubakar, mwenye umri wa miaka 75, Muislamu wa kaskazini na mwanasiasa wa chama cha People’s Democratic Party au PDP, amewania mara kadhaa tiketi ya urais wa nchi hiyo

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria
Africa Features Politics

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Nigeria itakwenda uchaguzini Februari 2023 kumchagua mrithi wa Rais Muhammadu Buhari ambaye ataondoka uongozini baada ya kuhudumu kwa mihula miwili.

Nigeria: Mwanafunzi wa Kikristo apigwa mawe na umati hadi kufa kwa shtuma za kukufuru
Africa Features

Nigeria: Mwanafunzi wa Kikristo apigwa mawe na umati hadi kufa kwa shtuma za kukufuru

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Wanafunzi Waislamu kaskazini magharibi mwa Nigeria walimpiga kwa mawe mwanafunzi Mkristo hadi kufa na kuchoma maiti yake baada ya kumtuhumu kwa kumkufuru Mtume Muhammad

Waathiriwa wa mlipuko wa mafuta Nigeria kuzikwa kwa pamoja
Africa Features

Waathiriwa wa mlipuko wa mafuta Nigeria kuzikwa kwa pamoja

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Mamlaka ya Nigeria Jumatatu ilikusanya maiti za watu zaidi ya 100 waliokufa katika mlipuko uliotokea kwenye kiwanda haramu cha kusafishia mafuta kusini mwa nchi hiyo

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari atasafiri hadi London kwa uchunguzi wa kimatibabu
Africa Lifestyle & Health People

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari atasafiri hadi London kwa uchunguzi wa kimatibabu

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Buhari, 79, amekumbana na maswali mengi juu ya afya yake baada ya kukaa zaidi ya siku 100 huko London mnamo 2017 akipokea matibabu ya ugonjwa ambao haukujulikana.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo