Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026 – Jenerali Muhoozi atangaza
Kupitia mtandao wake wa Twitter, Muhoozi alisema hivi karibuni atachukua msimamo kuhusu suala hilo
Kupitia mtandao wake wa Twitter, Muhoozi alisema hivi karibuni atachukua msimamo kuhusu suala hilo
“Njia pekee ninayoweza kumlipa mama yangu ni kwa kuwa Rais wa Uganda! Na hakika nitafanya hivyo!!” Jenerali Muhoozi aliandika katika ukurasa wake wa Twitter.
Days after Ugandan President Museveni banned his son from commenting on state affairs via Twitter, Muhoozi has now come out to declared that no one can stop him
Rais Yoweri Museveni amesema kwamba mwanawe Jenerali Muhoozi atasalia katika mtandao wa Twitter linapokuja suala la masuala ya taifa, baada ya kuzuka kwa mitandao ya kijamii
Commander of the land forces of the UPDF Muhoozi Kainerugaba has shocked Kenyans after posting war messages via social media
Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.
Uganda imeshuhudia msururu wa mikasa inayolenga kukomesha upinzani, huku waandishi wa habari wakishambuliwa, mawakili kufungwa, waangalizi wa uchaguzi kufunguliwa mashtaka na viongozi wa upinzani kunyamazishwa.
Ingawa Kainerugaba amekanusha mara kwa mara madai kwamba ana nia ya kumrithi babake waangalizi wanaashiria kupanda kwake haraka kupitia safu ya jeshi la Uganda kama thibitisho kwamba alikuwa akiandaliwa kwa ajili ya kazi hiyo ya urais..
Uganda has witnessed a series of crackdowns aimed at stamping out dissent.
Wakili alisema mteja wake alikuwa akitafuta matibabu nje ya nchi kutokana na majeraha aliyoyapata.