Tanzania kuanza kutumia mita ya nauli kwa teksi
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (Latra) imepanga kufunga mita za kielektroniki kwa teksi ambazo zingewawezesha wateja kulipa nauli kulingana na kilomita walizosafiri
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (Latra) imepanga kufunga mita za kielektroniki kwa teksi ambazo zingewawezesha wateja kulipa nauli kulingana na kilomita walizosafiri
South Africa’s graft-tainted former president Jacob Zuma has announced that he is suing President Cyril Ramaphosa over a leaked medical report linked to a 1990s arms corruption trial
The case filed in Kenya’s High Court by rights group says Meta responded inadequately to hateful content on its platform, especially in relation to the war in Tigray
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa kesi za Covid-19 huenda zikaongezeka wakati wa msimu wa krismasi- na kushauri watu kupata chanjo
Dereva wa safari rally nchini Kenya Maxine Wahome, alishtakiwa kwa shambulio siku ya Jumatano kufuatia kisa kilichomhusisha mpenzi wake na dereva mwenzake Asad Khan
The families of two miners allegedly killed at a Tanzanian gold mine in 2019 on Wednesday launched a legal claim against the London Bullion Market Authority for certifying its gold
Timu ya taifa ya kandanda ya Uganda, Cranes, imejiondoa katika michuano ya Mataifa ya Afrika kutokana na ukosefu wa fedha
The existence of such an office has not been announced or constituted, hence it remains unknown how the office was established
Zaidi ya watu 120 waliuawa Jumanne wakati mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea katika miaka mingi yalikumba mji mkuu wa Kinshasa DR Congo kufuatia mvua iliyonyesha usiku kucha
Cyril Ramaphosa will not face an impeachment inquiry after easily surviving Tuesday a vote in parliament that could have initiated proceedings to remove him from office