Kenya kuteuliwa kuwa mshirika mkuu asiyekuwa mwanachama wa NATO
Hadhi ya Kenya inathibitisha nafasi yake muhimu katika mipango ya usalama wa kimataifa na ushirikiano wake imara na Marekani
Hadhi ya Kenya inathibitisha nafasi yake muhimu katika mipango ya usalama wa kimataifa na ushirikiano wake imara na Marekani
Erdogan signalled on Saturday that no progress had been made in Sweden’s bid to join NATO, urging Stockholm to take “concrete actions” to meet Ankara’s concerns.
Turkish officials said Ankara does not view the summit as a final deadline for resolving its objections.
Slovakia has donated military equipment to Ukraine worth 154 million euros ($160 million) since the beginning of the war
Urusi ilionya Jumatatu kwamba maamuzi ya Finland na Uswidi kujiunga na muungano wa kijeshi wa NATO yalikuwa makosa makubwa na Moscow itachukua hatua.
Urusi ilipiga marufuku ya kusafiri kwa Makamu wa Rais wa Amerika Kamala Harris, mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg na makumi ya Wamarekani mashuhuri na Wacanada kulipiza kisasi kwa vikwazo vilivyowekwa juu ya uvamazi wao nchini Ukraine.
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameomba kuhutubia Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall alisema Jumatatu. Sall, mwenyekiti wa…
Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.
Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.
Russian fighters also fired at the airport in the western city of Ivano-Frankivsk, which is less than 150 kilometers (94 miles) north of Romania and 250 kilometers (155 miles) from Hungary, countries that also are NATO allies.