• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: NATO

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu
Europe Features International

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Russian airstrike hits base in western Ukraine, kills 35
Europe International War & Conflicts

Russian airstrike hits base in western Ukraine, kills 35

Justus TharaoMarch 14, 2022July 2, 2024

Russian fighters also fired at the airport in the western city of Ivano-Frankivsk, which is less than 150 kilometers (94 miles) north of Romania and 250 kilometers (155 miles) from Hungary, countries that also are NATO allies.

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Europe Features Football International People

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Europe Features International People Politics

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Europe Features People Politics

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine
Europe Features International Politics

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.

Zelensky anasema ikiwa Ukraine itaanguka, mataifa mengine  ya Baltic pia yataanguka
Europe Features International People Politics

Zelensky anasema ikiwa Ukraine itaanguka, mataifa mengine  ya Baltic pia yataanguka

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Zelensky alitoa wito wa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Urusi Vladimir Putin, akisema “ndio njia pekee ya kukomesha vita hivi”.

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa
Europe Features International Politics

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo