Tanzania yataja ugonjwa wa ajabu kuwa ni ‘homa ya panya’
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye alitembelea eneo hilo alisema ugonjwa huo unasababishwa na bakteria ambao huenea kupitia maji au chakula kilichochafuliwa na mkojo wa wanyama.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye alitembelea eneo hilo alisema ugonjwa huo unasababishwa na bakteria ambao huenea kupitia maji au chakula kilichochafuliwa na mkojo wa wanyama.
The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said earlier this week it had agreed to revive a stalled process to review the constitution “for the greater national interest”.
Asisitiza viongozi wa dini na machifu kuirejesha jamii karibu na Mungu kuondoa imani potofu
Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi amemsihi Rais Samia Suluhu Hassan kutokubali kulinganishwa na Mungu kwa namna yoyote ile.
Rais Samia na Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu walijadili masuala mbalimbali yenye maslahi kwa nchi ya Tanzania,
The new speaker Tulia Ackson’s predecessor, Job Ndugai, resigned last month after criticising President Suluhu.
Tulia Ackson, ambaye amekuwa naibu spika tangu 2015, aliwashinda wagombea wengine wanane wa upinzani.
Tanzania’s first female President Samia Suluhu will today (Thursday) address the ongoing 76th session of the United Nations General Assembly…
“Nitawania kiti cha urais 2025” Rais Samia Suluhu Hassan