Raila Odinga ashinikiza Tume ya Uchaguzi (IEBC) Kuondolewa
Odinga sasa anaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini kenya IEBC kuondolewa na kisha kubuniwa kwa mfumo mpya wa uchaguzi
Odinga sasa anaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini kenya IEBC kuondolewa na kisha kubuniwa kwa mfumo mpya wa uchaguzi
Odinga acknowledged that Ruto had personally invited him to the inauguration ceremony but said he would not honor the invite since he is out of the country and that he still holds “serious concerns” about the August 9th elections in which Ruto was declared the winner.
The Supreme Court of Kenya will once again make a decision on the credibility of this year’s presidential election following presidential results dispute
Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.
Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.
Huenda wakenya wakafahamu kiongozi atakayechukua uongozi kutoka rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta leo
Raila Odinga na William Ruto wamekuwa na uhusiano wa upendo na uhasama kwa muongo mmoja sasa, wote wakiwa wamechangia pakubwa…
Kenya goes to the polls on Tuesday in a closely fought race to elect the fifth president since independence from Britain six decades ago.
Naibu Rais William Ruto wa Kenya Kwanza na Raila Odinga wa Muungano wa Azimio La Umoja walitoa wito wao wa…
Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.