EU agrees to freeze Putin, Lavrov assets over Ukraine
The measures were added Friday after being raised in overnight discussions by EU leaders on a new sanctions package
The measures were added Friday after being raised in overnight discussions by EU leaders on a new sanctions package
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov leo amesema kuwa Moscow iko tayari kwa mazungumzo ikiwa jeshi la Ukraine litajisalimisha, huku akisisitiza kuwa vikosi vya wavamizi vinalenga kuikomboa nchi hiyo kutoka kwa “ukandamizaji”.
Baraza la juu la Urusi, lilimpa Putin idhini kwa kauli moja ya kupeleka ‘walinda amani’ katika mikoa miwili iliyojitenga ya Donetsk na Lugansk