• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

WHO yatoa tahadhari juu ya uhaba wa chanjo ya Kipindupindu
Africa

WHO yatoa tahadhari juu ya uhaba wa chanjo ya Kipindupindu

Asia GambaMarch 21, 2024March 21, 2024

Tahadhari hiyo imetolewa katika wakati ambapo dunia inakabiliwa na uhaba wa chanjo dhidi ya ugonjwa huo wa kuharisha.

Watu 10 watiwa mbaroni kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu Kg 9.8
Africa East Africa

Watu 10 watiwa mbaroni kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu Kg 9.8

Asia GambaMarch 20, 2024March 20, 2024

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia wafanyabiashara wa madini 10 kwa tuhuma za utoroshaji wa madini Kilogramu 9.8yenye thamani ya Tsh 1,555,476,586

Wanasayansi wafanikiwa kuondoa kabisa virusi vya Ukimwi kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa.
Africa East Africa

Wanasayansi wafanikiwa kuondoa kabisa virusi vya Ukimwi kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa.

Asia GambaMarch 20, 2024March 20, 2024

Wanasayansi wanasema wamefanikiwa kuondoa kabisa virusi vinavyosababisha Ukimwi (VVU) kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa, kwa kutumia teknolojia ya kurekebisha upya jeni za mwili ya Crispr (Crispr gene-editing technology) iliyoshinda Tuzo ya Nobel

Miaka mitatu ya Urais wa Samia akiwa mwanamke wa kwanza Tanzania kushika wadhfa huo.
Africa East Africa

Miaka mitatu ya Urais wa Samia akiwa mwanamke wa kwanza Tanzania kushika wadhfa huo.

Asia GambaMarch 19, 2024March 19, 2024

Rais Samia Suluhu Hassan alishika  hatamu ya nchi kufuatia kifo cha mtangulizi wake huyo hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza taifa hilo tangu lipate uhuru.

ACT Wazalendo waitaka Serikali itekeleze ahadi yake ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Africa East Africa

ACT Wazalendo waitaka Serikali itekeleze ahadi yake ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Chama cha ACT Wazalendo  kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

TBS:Mchele kutoka Marekani ni salama
Africa East Africa

TBS:Mchele kutoka Marekani ni salama

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Taarifa ya TBS iliyotolewa kwa vyombo vya habari imeeleza kuwa chakula hicho kilipoingizwa nchini kilifanyiwa ukaguzi na uchunguzi wa kimaabara na kuthibitishwa kuwa ni salama kwa matumizi.

Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli
Africa East Africa

Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Hata hivyo anakiri kwamba kulikuwa na ugumu uliosababisha kuchukua saa 48 kabla ya rais mwingine hajaapishwa jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya Tanzania, hali iliyotokana na pande mbili kuwa kutofautiana kimaamuzi.

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25

Asia GambaMarch 12, 2024March 12, 2024

Serikali imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa mwaka 2024/25. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo aliwasilisha mpango huo Dodoma jana katika kikao cha kamati ya bunge zima kilichoongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0
Africa East Africa

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilitangaza awamu nyingine ya maandamano yenye utofauti na awamu ya kwanza ya maandamano iliyomalizika hivi karibuni.

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.
Africa East Africa

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wakazi saba wa Jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya mahakimu watatu tofauti wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka manne yakiwamo ya kusafirisha sukari na mafuta ya kupikia kwa magendo vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 10.7. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo