Akamatwa akidaiwa kumbaka mtoto wa miaka saba
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja (32), akituhumiwa kumbaka mtoto wa miaka saba ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Nalunga, iliyopo katika Halmashauri ya Mji Nanyamba, mkoani hapa.