• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Tanzania yatajwa kuwa kwenye kiwango kizuri cha upatikanaji wa Chakula
Africa East Africa

Tanzania yatajwa kuwa kwenye kiwango kizuri cha upatikanaji wa Chakula

Asia GambaNovember 14, 2023November 14, 2023

Tanzania imetajwa kuwa kwenye kiwango kizuri cha upatikanaji wa chakula kutokana na kuwepo kwa takwimu sahihi za hali ya Maisha katika kaya, hali iliyopelekea kiwango cha umasikini wa chakula kushuka nchini. 

Whozu, Billnass na Mbosso wapunguziwa adhabu na BASATA
Entertainment

Whozu, Billnass na Mbosso wapunguziwa adhabu na BASATA

Asia GambaNovember 14, 2023July 5, 2024

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewapunguzia adhabu wasanii wa bongofleva nchini Tanzania, Whozu, Billnass na Mbosso na kuwataka wasanii hao kulipa faini ili waweze kuruhusiwa kufanya kazi za sanaa.

Watu wawili wafa maji mkoani Pwani
Africa East Africa

Watu wawili wafa maji mkoani Pwani

Asia GambaNovember 14, 2023November 14, 2023

Matukio ya vifo hivyo yametokea kwa nyakati tofauti ikiwa ni sehemu ya madhara kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini.

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23 
Africa East Africa

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23 

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy.

ACT Wazalendo kuchambua miswada ya uchaguzi iliyosomwa bungeni
Africa East Africa

ACT Wazalendo kuchambua miswada ya uchaguzi iliyosomwa bungeni

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Chama cha ACT Wazalendo kimeielekeza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho kuichambua Miswada ya Sheria kuhusu Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi na Vyama vya Siasa iliyosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni tarehe 10 Novemba 2023.

Kesi ya Polisi wanaodaiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha yapigwa kalenda, upepelezi ukiwa bado haujakamilika
Africa East Africa

Kesi ya Polisi wanaodaiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha yapigwa kalenda, upepelezi ukiwa bado haujakamilika

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Washtakiwa hao ni waliokuwa askari kanzu watatu mwenye namba  F 7149 D/Coplo Ramadhani Tarimo (42) maarufu kama Rasta na mkazi wa Kipawa; G 7513 D/Coplo Majid Abdallah(35) na mkazi wa Kunduchi na WP  6582 D/ Coplo Stella Mashaka ( 41) mkazi wa Railway.

Magonjwa yasiyoambukiza changamoto Afrika.
Africa East Africa

Magonjwa yasiyoambukiza changamoto Afrika.

Asia GambaNovember 13, 2023November 14, 2023

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi Magonjwa yasioambukiza Wizara ya Afya Dkt. Omary Ubuguyu katika uzinduzi wa madhimisho ya wiki ya magonjwa yasioambukiza iliyoandaliwa na Wizara ya Afya, Ofisi ya (TAMISEMI) uongozi wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja na wadau wa huduma za magonjwa yasioambukiza.

Klabu ya Simba yamtimua Robertinho
Africa East Africa Sports

Klabu ya Simba yamtimua Robertinho

Asia GambaNovember 7, 2023November 7, 2023

Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika. 

Mimba za Utotoni zinavyowatesa watoto kukwama kielimu Songwe
Africa East Africa

Mimba za Utotoni zinavyowatesa watoto kukwama kielimu Songwe

Asia GambaNovember 3, 2023November 25, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael, ametoa muda wa siku tatu kwa Afisa elimu Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na taasisi nyingine ikiwemo Jeshi la Polisi kuwasaka watu wote waliohusika kuwakatisha masomo wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari na kueleza hatua zilizochukuliwa kisha apewe taarifa.

Wakuu wa nchi za SADC kukutana kwa dharula kujadili hali ya amani na ulinzi wa nchini DRC
Africa East Africa

Wakuu wa nchi za SADC kukutana kwa dharula kujadili hali ya amani na ulinzi wa nchini DRC

Asia GambaNovember 3, 2023November 3, 2023

Mkutano huo unalenga kujadili juhudi za SADC katika kuimarisha hali ya amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kufuatia mapigano ya muda mrefu yanayoendelea nchini humo yakitekelezwa na vikundi vyenye silaha katika majimbo ya Kivu Kusini, Kivu Kaskazini na Ituri.   

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo