HRW yaitaka Tanzania kuacha kuwakandamiza wakosoaji mkataba wa bandari
Katia ripoti yake iliyotolewa leo HRW imesema mamlaka ya Tanzania hadi sasa imewashikilia au kuwatishia takriban watu 22 tangu Juni 10, 2023, wakiwemo waandamanaji, baada ya kukosoa Bunge la Tanzania kuridhia kwa makubaliano ya usimamizi wa bandari za Tanzania.