• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

HRW yaitaka Tanzania kuacha kuwakandamiza wakosoaji mkataba wa bandari
Africa East Africa

HRW yaitaka Tanzania kuacha kuwakandamiza wakosoaji mkataba wa bandari

Asia GambaAugust 7, 2023August 7, 2023

Katia ripoti yake iliyotolewa leo HRW imesema mamlaka ya Tanzania hadi sasa imewashikilia au kuwatishia takriban watu 22 tangu Juni 10, 2023, wakiwemo waandamanaji, baada ya kukosoa Bunge la Tanzania kuridhia kwa makubaliano ya usimamizi wa bandari za Tanzania.

Ajali yaua ndugu wanne mkoani Pwani
Africa East Africa

Ajali yaua ndugu wanne mkoani Pwani

Asia GambaAugust 3, 2023August 3, 2023

Kamanda ya Polisi wa mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia hii leo na kuongeza kuwa watu wote waliofariki dunia walikuwa ndani ya Prado

Kibano wauza Sukari zaidi ya 3200
Africa East Africa

Kibano wauza Sukari zaidi ya 3200

Asia GambaAugust 3, 2023August 3, 2023

Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Dkt Ashatu Kijaji amewataka Maafisa Biashara wote nchini humo kukagua bei ya Sukari duka kwa duka na atakae kutwa na bei zaidi ya shilingi 3,200 achukuliwe hatua za kisheria.

Miili 14 waliozama ziwa Victoria yaopolewa yote
Africa East Africa

Miili 14 waliozama ziwa Victoria yaopolewa yote

Asia GambaAugust 2, 2023August 2, 2023

Shughuli ya uokozi katika ajali ya boti mbili zilizozama ndani ya Ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watu 14 wilayani Bunda imekamilika baada ya miili yote kuopolewa.

Uhaba wa Dola za Kimarekani ulivyotikisa bei za mafuta nchini Tanzania, vilio kila kona.
Africa East Africa

Uhaba wa Dola za Kimarekani ulivyotikisa bei za mafuta nchini Tanzania, vilio kila kona.

Asia GambaAugust 2, 2023August 2, 2023

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (Ewura) imetangaza bei ya ukomo kwa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa huku kukiwa na kilio cha ongezeko katika mafuta ya petroli na dizeli.

Wakili Madeleka akosa dhamana, mawakili wake wapanga kukata rufaa.
Africa East Africa

Wakili Madeleka akosa dhamana, mawakili wake wapanga kukata rufaa.

Asia GambaAugust 1, 2023August 1, 2023

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imetupilia mbali ombi la dhamana ya Wakili maarufu nchini Tanzania, Peter Madeleka lililoombwa mahakamani hapo jana na jopo la mawakili watano wanaomtetea.

Watu 14 wahofiwa kufa maji baada ya mitumbwi kuzama mkoani Mara
Africa East Africa

Watu 14 wahofiwa kufa maji baada ya mitumbwi kuzama mkoani Mara

Asia GambaJuly 31, 2023July 31, 2023

Habari kutoka mkoani Mara zinaeleza kuwa mitumbwi hiyo miwili ilikuwa ikifuatana na ndipo upepo mkali ulipoanza na kusababisha mtumbwi mmoja kuzama na kusababisha mtumbwi mwingine kurudi nyuma Ili kuokoa na ndipo ilipozama yote.

Rais Ruto akutana na Rais Samia nchini Tanzania huku kukiwa na madai kwamba alimpuuza jijini Nairobi
East Africa People Politics

Rais Ruto akutana na Rais Samia nchini Tanzania huku kukiwa na madai kwamba alimpuuza jijini Nairobi

Joy CheptooJuly 26, 2023July 26, 2023

Ziara ya Ruto inajiri siku chache baada ya rais wa Tanzania kufichua kuwa baadhi ya wawekezaji walipiga kambi katika nchi hiyo jirani kutokana na kukosekana kwa utulivu wa kisiasa nchini Kenya.

Raila: Rais Samia Suluhu alikuja Kenya ili kupatanisha mimi na Ruto lakini yote yaliambulia patupu!
Africa East Africa People Politics

Raila: Rais Samia Suluhu alikuja Kenya ili kupatanisha mimi na Ruto lakini yote yaliambulia patupu!

Joy CheptooJuly 25, 2023July 25, 2023

Raila aliviambia vyombo vya habari kuwa Rais Ruto, aliyeanzisha mkutano huo, aliwafanya wasubiri na hakuonekana katika mkutano huo licha ya juhudi za Mkuu wa Nchi ya Tanzania, Samia Suluhu.

Mdude agoma kutoa simu kwa ajili ya uchunguzi polisi, ataka zichukuliwe kwa amri ya Mahakama.
Africa East Africa

Mdude agoma kutoa simu kwa ajili ya uchunguzi polisi, ataka zichukuliwe kwa amri ya Mahakama.

Asia GambaJuly 18, 2023July 18, 2023

Mwanaharakati na kada wa CHADEMA Mdude Nyagali ameijibu barua ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoani Mbeya, iliyomtaka kukabidhi simu zake na vifaa vingine vya kielektroniki kwa ajili ya kufanyia uchunguzi kuhusiana na kauli na machapisho aliyoyatoa mnamo tarehe 9 Julai,2023.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo