BAWACHA wampokea kwa shangwe Rais Samia kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Maadhimisho hayo ambayo Bawacha wanafanya Kitaifa mjini Moshi katika Ukumbi wa Kuringe pia yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, dini na vyama vya siasa.