• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

BAWACHA wampokea kwa shangwe Rais Samia kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Africa East Africa

BAWACHA wampokea kwa shangwe Rais Samia kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Asia GambaMarch 8, 2023March 8, 2023

Maadhimisho hayo ambayo Bawacha wanafanya Kitaifa mjini Moshi katika Ukumbi wa Kuringe pia yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, dini na vyama vya siasa.

Jaji Ngwembe ahimiza matumizi ya sayansi katika upelelezi
Africa East Africa

Jaji Ngwembe ahimiza matumizi ya sayansi katika upelelezi

Asia GambaMarch 7, 2023March 7, 2023

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe awasisitiza wadau wa Haki Jinai kuzingatia matumizi ya sayansi wakati wa upelelezi ili kuirahisishia Mahakama wakati wa kutafsiri sheria.

Tanzanian government bans boarding for young children
East Africa

Tanzanian government bans boarding for young children

Joy CheptooMarch 6, 2023March 6, 2023

The directive was issued by the Education Commissioner of the ministry, Dr. Lyabwene Mtahabwa to education stakeholders in the country, saying that the implementation should start in March this year

Aliyekuwa Kocha Wa Harambee Stars Adel Amrouche Ateuliwa Kocha Wa Taifa Stars Ya Tanzania
East Africa People Sports

Aliyekuwa Kocha Wa Harambee Stars Adel Amrouche Ateuliwa Kocha Wa Taifa Stars Ya Tanzania

Mwanzo EditorMarch 6, 2023March 6, 2023

Amrouche,58, amewai kuitia makali timu ya soka ya Burundi, Equatorial Guinea, Botswana, Libya na Yemen

Ahukumiwa kifugo cha maisha jela kwa kumnajisi mtoto wake wa kumzaa
Africa East Africa

Ahukumiwa kifugo cha maisha jela kwa kumnajisi mtoto wake wa kumzaa

Asia GambaMarch 6, 2023March 6, 2023

Awali, kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, mtoto huyo ambaye jina lake limehifadhiwa alieleza kuwa kila alipokuwa anakataa kufanyiwa kitendo hicho ,baba yake alikuwa anamng’ata na kumpiga sehemu za mwili wake na kumtishia.

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.
Sports

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…

Mahitaji ya gesi kwenye magari yaongezeka nchini Tanzania
Africa East Africa

Mahitaji ya gesi kwenye magari yaongezeka nchini Tanzania

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mkurugenzi wa Biashara ya Mafuta na Gesi kutoka TPDC Dkt. Wellington Hudson amesema, hivi karibuni kumekuwa na misururu mirefu ya magari kuingia kwenye vituo vya kujazia gesi baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya watumiaji huku kituo kimoja kikisitisha kutoa huduma kutokana na matengenezo.

Dkt. Mpango atoa wito wa ushirikiano kwa nchi Zisizofungamana na Upande Wowote
Africa East Africa

Dkt. Mpango atoa wito wa ushirikiano kwa nchi Zisizofungamana na Upande Wowote

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Makamu wa Rais amesema hayo katika mji wa Baku nchini Azerbaijan, alipokuwa akihutubia mkutano wa nchi Zisizofungamana na Upande Wowote, mkutano uliolenga kujadili namna ya kukabiliana na athari za UVIKO – 19.

Mwanafunzi wa darasa la sita ajinyonga baada ya kufokewa na wazazi wake
Africa East Africa

Mwanafunzi wa darasa la sita ajinyonga baada ya kufokewa na wazazi wake

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Benjamin Kuzaga  amewaambia waandishi wa habari leo kuwa mwanafunzi huyo alifikia hatua ya kujitoa uhai baada ya kufokewa na wazazi wake.

Rais Samia:Nafahamu madhara ya kubadilisha viongozi mara kwa mara.
Africa East Africa

Rais Samia:Nafahamu madhara ya kubadilisha viongozi mara kwa mara.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, mara nyingi hulazimika kuwabadili viongozi mara kwa mara ili kuepusha madhara zaidi kwa Serikali na wananchi ambayo yangeweza kutokea.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo