Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye
Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha
Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha
Shirika hilo la ndege, ambalo linamilikiwa na Air France KLM, liliomba msamaha kwa serikali ya Kenya, likisema ushauri huo “umekusudiwa kwa wateja wetu nchini Tanzania pekee”.
Taarifa iliyotolewa leo January 26,2023 kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa hali ya ulinzi na usalama ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa Wananchi yanaendelea kudhibitiwa.
Simon Njavike (43) mkazi wa Mlangali wilayani Ludewa, mkoani Njombe, ambaye ni katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mlangali amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya wilaya hiyo akidaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 17.
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto, ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na bima ya afya kwa wote.
Lissu, who was shot 16 times in 2017 and has spent most of the years since in Belgium, arrived on a flight from Brussels via Addis Ababa
Lissu amerejea nchini baada ya kuwa uhamishoni kwa zaidi ya miaka 7
Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.
Mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, Frank Kigomba (31) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Shilingi 500,000 kwa kosa la kumbaka dada yake wa tumbo moja mwenye umri wa miaka 15.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, William Mwampaghale amesema tukio hilo limetokea Januari 21, 2023 saa 3:35 usiku katika maeneo ya Barabara ya Kumunazi kwenda Relenge, Wilaya ya Ngara.