• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye
East Africa

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania
East Africa

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania

Joy CheptooJanuary 29, 2023January 29, 2023

Shirika hilo la ndege, ambalo linamilikiwa na Air France KLM, liliomba msamaha kwa serikali ya Kenya, likisema ushauri huo “umekusudiwa kwa wateja wetu nchini Tanzania pekee”.

Jeshi la Polisi Tanzania lawaondoa hofu wananchi juu ya taarifa ya Ubalozi wa Marekani 
Africa East Africa

Jeshi la Polisi Tanzania lawaondoa hofu wananchi juu ya taarifa ya Ubalozi wa Marekani 

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2023 kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa hali ya ulinzi na usalama ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa Wananchi yanaendelea kudhibitiwa.

Katekista adaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Njombe
Africa East Africa

Katekista adaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Njombe

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Simon Njavike (43) mkazi wa Mlangali wilayani Ludewa, mkoani Njombe, ambaye ni katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mlangali amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya wilaya hiyo akidaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 17.

Tanzania kurejea upya gharama za upandikizaji mimba.
Africa East Africa

Tanzania kurejea upya gharama za upandikizaji mimba.

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto, ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na bima ya afya kwa wote.

Tanzania opposition leader Tundu Lissu returns from exile
East Africa People Politics

Tanzania opposition leader Tundu Lissu returns from exile

Mwanzo EditorJanuary 25, 2023January 25, 2023

Lissu, who was shot 16 times in 2017 and has spent most of the years since in Belgium, arrived on a flight from Brussels via Addis Ababa

Tundu Lissu apokewa kwa kishindo nchini Tanzania
East Africa People Politics

Tundu Lissu apokewa kwa kishindo nchini Tanzania

Asia GambaJanuary 25, 2023January 25, 2023

Lissu amerejea nchini baada ya kuwa uhamishoni kwa zaidi ya miaka 7

Mwili wa Mtanzania aliyefia Ukraine kurudishwa Tanzania kwa ajili ya maziko
East Africa Europe Tanzania War & Conflicts

Mwili wa Mtanzania aliyefia Ukraine kurudishwa Tanzania kwa ajili ya maziko

Asia GambaJanuary 24, 2023July 2, 2024

Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax  mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka dada yeke.
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka dada yeke.

Asia GambaJanuary 24, 2023January 24, 2023

Mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, Frank Kigomba (31) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Shilingi 500,000 kwa kosa la kumbaka dada yake wa tumbo moja mwenye umri wa miaka 15.

Polisi mkoani Kagera yaua watu wawili wanaodhaniwa kuwa majambazi
Africa East Africa

Polisi mkoani Kagera yaua watu wawili wanaodhaniwa kuwa majambazi

Asia GambaJanuary 23, 2023January 23, 2023

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, William Mwampaghale amesema tukio hilo limetokea Januari 21, 2023  saa 3:35 usiku katika maeneo ya Barabara ya Kumunazi kwenda Relenge, Wilaya ya Ngara.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo