Kenyan ex-Olympic official’s graft conviction overturned
Former Kenyan Olympic Committee official Stephen arap Soi was released from prison on Thursday after a Nairobi court overturned his conviction for embezzlement at the Rio Olympics
Former Kenyan Olympic Committee official Stephen arap Soi was released from prison on Thursday after a Nairobi court overturned his conviction for embezzlement at the Rio Olympics
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema mabehewa yote yaliyoainishwa kuletwa kwa ajili ya treni ya Reli ya Kisasa (SGR) yatakuja na kwamba yaliyoanza kuingia nchini ni ya safari ndefu.
Ripoti mpya iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na Atlanta Marekani na shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO na kituo cha Marekani cha kudhibiti magonjwa CDC inaonyesha kuwa ugonjwa wa surua ni tishio lililo karibu duniani kote.
Taarifa ya kanusho juu ya ripoti hiyo ambayo imesambaa mitandaoni toka siku Jumanne November 22 na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania imekuja jana Novemba 23, wakati tayari imeshaibua mjadala mzito juu ya ajali hiyo.
Ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Shirika la Precision Air, ikibainisha udhaifu katika uokozi kwa kile alichofafanua Jeshi la Polisi Kitengo cha Wanamaji kilipewa taarifa dakika 15 baada ya tukio lakini hakikufika kwa wakati.
Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe, amekanusha uwepo wa baa la njaa nchini humo lakini amekiri kupanda kwa bei za mazao.
Kesi hiyo ambayo leo Jumanne, Novemba 22, 2022 ilipangwa kwa ajili ya kutajwa ambapo kati ya washitakiwa hao 24, kumi ni madiwani pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ngorongoro, Nderango Laizer.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeweka msimamo wake wa kutofanyika uchaguzi mkuu wa 2025 wala uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 iwapo hakutapatika Katiba mpya itakayoweka mifumo mizuri ya uchaguzi
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefuta matokeo ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Umoja wa Vijana Mkoa wa Simiyu na kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho katika mikoa ya Mbeya na Arusha.
Uteuzi wa Atwoli uliidhinishwa kwa kauli moja na zaidi ya wajumbe 2000 na kufungua njia kwa muhula wake wa miaka mine katika ITUC, ambayo ina makao yake makuu mjini Brussels, Ubelgiji.