• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya siku tano mfululizo
Africa East Africa

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya siku tano mfululizo

Asia GambaJanuary 17, 2023January 17, 2023

Rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kupinga hukumu iliyomwachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake, imepangwa kuendelea kusikilizwa kwa siku tano mfululizo kuanzia Februari 27, 2023.

Ongezeko la nauli za mabasi ya mwendokasi Dar kuanza kutumika leo
Africa East Africa

Ongezeko la nauli za mabasi ya mwendokasi Dar kuanza kutumika leo

Asia GambaJanuary 16, 2023January 16, 2023

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Meneja Uhusiano wa Dart, William Gatambi, viwango vya bei zilizotolewa kwa watu wazima vinaonesha kwa njia kuu kutoka Kimara kwenda kivukoni, Morocco na Gerezani ni Sh 750 na wanafunzi 200 na kutoka Ubungo kwenda Kivukoni na Gerezani 750 na kutoka Morocco kwenda Kivukoni na Gerezani 750 na kwa wanafunzi ni Sh 200.

Lissu kukanyaga tena ardhi ya Tanzania Januari 25,2023.
Africa East Africa

Lissu kukanyaga tena ardhi ya Tanzania Januari 25,2023.

Asia GambaJanuary 13, 2023January 13, 2023

Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema anatarajia kurejea nchini Tanzania Januari 25, 2023 akitokea Ubelgiji alikorejea Novemba 10, 2020, baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.

Rais Samia:Zama za ugomvi katika siasa ziishe twendeni na hoja za maana.
Africa East Africa

Rais Samia:Zama za ugomvi katika siasa ziishe twendeni na hoja za maana.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Januari 10, 2022 huko Unguja, visiwani Zanzibar wakati wa kilele cha matembezi ya vijana kuadhimisha miaka 59 ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar zilizoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM),ambapo yeye akiwa mgeni rasmi.

Jaji Mkuu wa Tanzania ahimiza usuluhishi katika kutatua migogoro.
Africa East Africa

Jaji Mkuu wa Tanzania ahimiza usuluhishi katika kutatua migogoro.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza wananchi kutumia njia ya usuluhishi katika kutatua migogoro ya kisheria kwa lengo la kukuza uchumi endelevu badala ya kukimbilia mahakamani.

Kesi ya Maofisa wa polisi wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara wa madini kusikilizwa kesho.
Africa East Africa

Kesi ya Maofisa wa polisi wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara wa madini kusikilizwa kesho.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Mara ya kwanza maofisa hao walifikishwa mahakamani Januari 25, mwaka 2022 kwa tuhuma za kufanya mauaji ya hayo ambayo yalizua hisia mseto na kuleta taswira mbaya kwa jeshi la polisi nchini Tanzania

Brazil patrols government buildings retaken from rioting Bolsonaro supporters
International

Brazil patrols government buildings retaken from rioting Bolsonaro supporters

Victor WanaswaJanuary 9, 2023January 9, 2023

Newly inaugurated President Luiz Inacio Lula da Silva, the veteran leftist who narrowly won Brazil’s bitter, divisive October elections, condemned the invasions as a “fascist” attack.

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya na wenzake Januari 17.
Africa East Africa

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya na wenzake Januari 17.

Asia GambaJanuary 9, 2023January 9, 2023

Rufaa hiyo namba 155/2022, inapinga hukumu kesi ya uhujumu uchumi iliyowaachia huru Ole Sabaya na wenzake ambao ni pamoja na Enock Mnkeni, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?
International Politics

Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?

Victor WanaswaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Kundi la wabunge 20 wenye msimamo mkali wa chama chake cha Republican wamekataa kumpa McCarthy kura 218 zinazohitijaka kumfanya spika wa bunge hilo.

Ajali yaua watu watatu Tanga
Africa East Africa

Ajali yaua watu watatu Tanga

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Watu watatu wamefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 6,2023, baada ya lori lililokuwa limebeba gesi kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo