• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Benki Kuu ya Tanzania yaiweka chini ya uangalizi benki ya Yetu Microfinance 
Africa East Africa

Benki Kuu ya Tanzania yaiweka chini ya uangalizi benki ya Yetu Microfinance 

Asia GambaDecember 13, 2022December 13, 2022

Taarifa iliyotolewa Desemba 12, 2022 na Gavana wa BoT, Profesa Florens imesema usimamizi huo umeanza mara moja na utadumu kwa siku zisizozidi 90 kabla ya kutoa majumuisho.

Wamachinga wa soko la Kariakoo kutozwa kodi na TRA
Africa East Africa

Wamachinga wa soko la Kariakoo kutozwa kodi na TRA

Asia GambaDecember 12, 2022December 12, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 12, 2022 Meneja wa Mkoa wa Kikodi wa TRA, Alex Katundu amesema tayari machinga 5273 wameshasajiliwa ili kuingizwa kwenye mfumo wa malipo ya kodi wa makadirio.

Forbes yamtaja Samia miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani mwaka 2022
East Africa Features Gender People

Forbes yamtaja Samia miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani mwaka 2022

Joy CheptooDecember 10, 2022December 9, 2022

Orodha hiyo inajumuisha viongozi wakuu duniani wanaofanya kazi katika sekta mbalimbali, kuanzia siasa, uchumi, teknolojia, uhisani na afya

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri
Africa East Africa

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Taarifa iliyotolewa na shirika hilo kupitia ukurasa wao wa mtandao wa Twitter shirika hilo limesema juhudi zinaendelea kufanyika ili kurudisha huduma kama ilivyokuwa hapo awali huku likijulisha kuwa ndege moja ya Airbus ipo katika hatua za mwisho za marekebisho na inategemewa kurudi katika miruko ya kawaida kuanzia wiki ijayo.

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa
Africa East Africa

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania imekamata kilo 16.643 za dawa za kulevya zikiwamo kilo 15.19 za heroin

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba
Africa East Africa

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba

Asia GambaDecember 6, 2022December 6, 2022

Mahakama Kuu nchini Tanzania kanda ya Dar es salaam imesema  uamuzi wa kumwondoa katika utumishi wa umma aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini humo, Profesa Mussa Assad ulikiuka Katiba.

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine
Africa East Africa

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine

Asia GambaDecember 5, 2022December 5, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 5,2022 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema kuwa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu 2022 zitafanyika kwa njia ya midahalo na makongamano mbalimbali yatakayofanyika katika wilaya zote hapa nchini.

Watu 11 wahukumiwa kifo nchini Tanzania kwa mauaji ya mhifadhi
East Africa People

Watu 11 wahukumiwa kifo nchini Tanzania kwa mauaji ya mhifadhi

Joy CheptooDecember 3, 2022December 2, 2022

Mahakama nchini Tanzania iliwahukumu kifo watu 11 siku ya Ijumaa kutokana na mauaji ya mhifadhi maarufu Wayne Lotter mwaka wa 2017

Uganda yakamata boti 8 za wavuvi wa Kenya katika Ziwa Victoria
East Africa

Uganda yakamata boti 8 za wavuvi wa Kenya katika Ziwa Victoria

Joy CheptooDecember 1, 2022December 1, 2022

Maafisa wa usalama wa Uganda wamezuilia boti nane za wavuvi, ambazo wamiliki wake raia wa Kenya walituhumiwa kwa kuingia katika Ziwa Victoria

NACTE yafungia matokeo ya watahiniwa 540, na kufungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani
Africa East Africa

NACTE yafungia matokeo ya watahiniwa 540, na kufungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani

Asia GambaDecember 1, 2022December 1, 2022

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limezuia matokeo ya watahiniwa 540 kutoka vituo sita vya mitihani ndani ya jiji la Dar es Salaam baada ya kugundulika kufanya udanganyifu.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo