• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Balozi wa Tanzania nchini Austria afariki dunia.
Africa East Africa

Balozi wa Tanzania nchini Austria afariki dunia.

Asia GambaDecember 15, 2022December 15, 2022

Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushy amefariki dunia katika ajali iliyotokea eneo la Mkata wilayani Handeni mkoa wa Tanga.

Tanzanian gold miners’ families sue UK industry body
East Africa Europe People

Tanzanian gold miners’ families sue UK industry body

Mwanzo EditorDecember 14, 2022December 14, 2022

The families of two miners allegedly killed at a Tanzanian gold mine in 2019 on Wednesday launched a legal claim against the London Bullion Market Authority for certifying its gold

Watanzania waishtaki kampuni ya madini ya Barrick Gold kwa ukiukaji wa haki za binadamu 
East Africa People

Watanzania waishtaki kampuni ya madini ya Barrick Gold kwa ukiukaji wa haki za binadamu 

Joy CheptooDecember 13, 2022December 13, 2022

Kundi la Watanzania limewasilisha kesi katika mahakama ya Canada. dhidi ya kampuni kubwa ya uchimbaji madini ya Barrick Gold, kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

Benki Kuu ya Tanzania yaiweka chini ya uangalizi benki ya Yetu Microfinance 
Africa East Africa

Benki Kuu ya Tanzania yaiweka chini ya uangalizi benki ya Yetu Microfinance 

Asia GambaDecember 13, 2022December 13, 2022

Taarifa iliyotolewa Desemba 12, 2022 na Gavana wa BoT, Profesa Florens imesema usimamizi huo umeanza mara moja na utadumu kwa siku zisizozidi 90 kabla ya kutoa majumuisho.

Wamachinga wa soko la Kariakoo kutozwa kodi na TRA
Africa East Africa

Wamachinga wa soko la Kariakoo kutozwa kodi na TRA

Asia GambaDecember 12, 2022December 12, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 12, 2022 Meneja wa Mkoa wa Kikodi wa TRA, Alex Katundu amesema tayari machinga 5273 wameshasajiliwa ili kuingizwa kwenye mfumo wa malipo ya kodi wa makadirio.

Forbes yamtaja Samia miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani mwaka 2022
East Africa Features Gender People

Forbes yamtaja Samia miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani mwaka 2022

Joy CheptooDecember 10, 2022December 9, 2022

Orodha hiyo inajumuisha viongozi wakuu duniani wanaofanya kazi katika sekta mbalimbali, kuanzia siasa, uchumi, teknolojia, uhisani na afya

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri
Africa East Africa

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Taarifa iliyotolewa na shirika hilo kupitia ukurasa wao wa mtandao wa Twitter shirika hilo limesema juhudi zinaendelea kufanyika ili kurudisha huduma kama ilivyokuwa hapo awali huku likijulisha kuwa ndege moja ya Airbus ipo katika hatua za mwisho za marekebisho na inategemewa kurudi katika miruko ya kawaida kuanzia wiki ijayo.

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa
Africa East Africa

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania imekamata kilo 16.643 za dawa za kulevya zikiwamo kilo 15.19 za heroin

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba
Africa East Africa

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba

Asia GambaDecember 6, 2022December 6, 2022

Mahakama Kuu nchini Tanzania kanda ya Dar es salaam imesema  uamuzi wa kumwondoa katika utumishi wa umma aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini humo, Profesa Mussa Assad ulikiuka Katiba.

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine
Africa East Africa

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine

Asia GambaDecember 5, 2022December 5, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 5,2022 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema kuwa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu 2022 zitafanyika kwa njia ya midahalo na makongamano mbalimbali yatakayofanyika katika wilaya zote hapa nchini.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy