• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Rais wa zamani wa China afariki dunia
Africa

Rais wa zamani wa China afariki dunia

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Rais wa zamani wa China Jiang Zemin, ambaye aliongoza nchi hiyo kupitia enzi ya mabadiliko kutoka mwishoni mwa miaka ya 1980 na kuingia katika milenia mpya, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96, shirika la habari la serikali Xinhua lilisema.

Wanajeshi Indonesia wafungwa jela miezi saba kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Africa

Wanajeshi Indonesia wafungwa jela miezi saba kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Wanajeshi hao, waliojiunga na jeshi mwaka jana na walikuwa na makao yake katika kisiwa kikuu cha Java nchini humo, pia waliondolewa jeshini, kulingana na uamuzi wa mahakama ya kijeshi wa tarehe 9 Novemba.

Hakimu adaiwa kujiua kwa kunywa sumu akiwa gesti
Africa East Africa

Hakimu adaiwa kujiua kwa kunywa sumu akiwa gesti

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Akizungumzia tukio hilo jana Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea Novemba 27 mwaka huu akiwa amelala katika nyumba ya wageni.

Amzika mwanawe wa miezi miwili akiwa hai kisa utajiri
Africa East Africa

Amzika mwanawe wa miezi miwili akiwa hai kisa utajiri

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Mkazi wa Kijiji cha Mahaha wilayani Magu mkoani Mwanza, Zawadi Msagaja (20) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hamo kwa tuhuma za kumzika mtoto wake akiwa hai ili apate mali.

Ucheleweshaji wa tume huru wamtia wasiwasi Prof Lipumba
Africa East Africa

Ucheleweshaji wa tume huru wamtia wasiwasi Prof Lipumba

Asia GambaNovember 29, 2022November 29, 2022

Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimemuomba Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi yake ya kujenga maridhiano na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi, kwa kuhakikisha tume huru ya uchaguzi inapatikana kabla ya chaguzi zijazo. 

Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT adaiwa kujiua kwa kujipiga risasi
Africa East Africa

Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT adaiwa kujiua kwa kujipiga risasi

Asia GambaNovember 29, 2022November 29, 2022

Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT, Osea Kashiririka (21) amefariki dunia baada ya kujipiga risasi sehemu ya shingo kwa kutumia bunduki.

Rais Samia:Siridhishwi na kasi ya uendeshaji wa miradi ya UWT
Africa East Africa

Rais Samia:Siridhishwi na kasi ya uendeshaji wa miradi ya UWT

Asia GambaNovember 28, 2022November 28, 2022

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kutoridhishwa na kasi ya kujiunga kwa wanachama wa Jumuiya ya wanawake wa chama hicho (UWT) na uendeshaji wa miradi yake ya kiuchumi.

Makalla:Hakuna mgao wa ya Maji Dar
Africa East Africa

Makalla:Hakuna mgao wa ya Maji Dar

Asia GambaNovember 25, 2022November 25, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla ametangaza kuanzia sasa hakuna mgao wa maji ndani ya mkoa huo na kuitaka Mamlaka ya Majisafi na Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuelekeza nguvu kuimarisha miundombinu na miradi mikubwa ikiwemo Mabwepande.

Ripoti ya ajali ya ndege iliyokanwa na Serikali ya Tanzania yafanania na ripoti rasmi iliyotolewa.
Africa East Africa

Ripoti ya ajali ya ndege iliyokanwa na Serikali ya Tanzania yafanania na ripoti rasmi iliyotolewa.

Asia GambaNovember 25, 2022November 25, 2022

Jana  Alhamsi Novemba 24, 2020 akisoma taarifa rasmi ya ripoti ya uchunguzi huo wa awali, Profesa Mbarawa amesema hali ya hewa ya Bukoba ilikuwa nzuri hadi Saa 2 na dakika 20 asubuhi, taarifa ambayo hivyohivyo imeonyesha katika ripoti iliyokanwa na Serikali 

Kenyan ex-Olympic official’s graft conviction overturned
East Africa People

Kenyan ex-Olympic official’s graft conviction overturned

Mwanzo EditorNovember 24, 2022November 24, 2022

Former Kenyan Olympic Committee official Stephen arap Soi was released from prison on Thursday after a Nairobi court overturned his conviction for embezzlement at the Rio Olympics

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo