Muswada wa Bima kwa wote waahirishwa kujadiliwa bungeni
Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema kuna mambo ambayo hawajaafikiana na Serikali hivyo umeondolewa katika ratiba ya shughuli za leo ambapo Bunge linaahirishwa.
Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema kuna mambo ambayo hawajaafikiana na Serikali hivyo umeondolewa katika ratiba ya shughuli za leo ambapo Bunge linaahirishwa.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania(Ewura), Mhandisi Modeatus Lumato amesema Tanzania ni kati ya nchi zinazouza mafuta kwa bei ya chini kutokana na ruzuku ya Serikali.
Taarifa iliyotolewa leo na shirika hilo ni inaeleza kuwa mabadiliko hayo yametokana na changamoto za kiufundi duniani kote za injini aina ya PW1524G-3 zinazotumika kwenye ndege aina ya Airbus A220-300
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewataka wakuu wa mikoa nchini humo, viongozi wa wilaya na bodi za mabonde ya maji kufanya jitihada za ziada katika udhibiti wa uharibifu wa mazingira unaotokana na shughuli za kibinadamu ili kukabiliana na uharibifu na upoteaji wa vyanzo vya maji nchini.
Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Tanzania(TCAA) imewatoa hofu watumiaji wa usafiri wa Anga nchini humo kuhusu usalama katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba uliopo katika Manispaa ya Mji Bukoba Mkoani Kagera baada ya kutokea kwa ajali ya Ndege ya Precision Air ATR 42-500 yenye namba PW 494 iliyoanguka kwenye ziwa Victoria mita chache kutoka uwanja wa ndege wa Bukoba, ikijiandaa kutua siku ya Jumapili Novemba 06, 2022.
Hayo yamesemwa leo Novemba 9,2022 na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kasper Mmuya katika maadhimisho ya kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza (NCD) katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania(TCRA) imetangaza kuzifungia jumla ya namba tambulishi 52,087, zikiwemo zile zinazohusishwa na wizi, utapeli na ulaghai kupitia mitandao wa simu.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ilipanga kutaja kesi hiyo leo Novemba 8, 2022 lakini Wakili wa Serikali Upendo Shemkole aliimweleza Hakimu Mkazi, Harieth Mhenga kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
The meeting was held in in Shamar El Sheikh, Egypt,on the sidelines of the meeting of United Nations Framework on Climate Change (COP-27)
Waziri wa Fedha na Mpango, Dk Mwigulu Nchemba amewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka wa fedha 2023/24 katika Kamati ya Bunge zima ambapo inatarajia kukusanya na kutumia shilingi trilioni 43.3.