Rais wa zamani wa China afariki dunia
Rais wa zamani wa China Jiang Zemin, ambaye aliongoza nchi hiyo kupitia enzi ya mabadiliko kutoka mwishoni mwa miaka ya 1980 na kuingia katika milenia mpya, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96, shirika la habari la serikali Xinhua lilisema.