Siku 68 za Lissu gerezani, aeleza masaibu anayopitia
Licha ya kutohukumiwa, Lissu amedai amekuwa akishikiliwa kwenye eneo maalum la wafungwa wanaosubiri kunyongwa (death row) ndani ya Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam.
Licha ya kutohukumiwa, Lissu amedai amekuwa akishikiliwa kwenye eneo maalum la wafungwa wanaosubiri kunyongwa (death row) ndani ya Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam.
According to an internal U.S. State Department cable seen by Reuters, the countries on the list have been flagged over issues like poor cooperation with U.S. authorities, failure to take back deported citizens and weak passport or identity systems.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama ya Kisutu kuwa ameamua kujiwakilisha mwenyewe katika shauri la uhaini yanayomkabili, akidai kunyimwa haki ya kuonana kwa faragha na mawakili wake tangu alipowekwa mahabusu zaidi ya miezi miwili iliyopita.
The international community continues to call for urgent action to protect human rights in Tanzania and ensure justice for those who have been subjected to abuse.
Tanzania’s Minister of Information Jerry Silaa told a local TV station this “contradicts our regulations”.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.
Describing the horrific treatment she received, Atuhaire recalled that after being taken into custody, Tanzanian authorities stripped her down to her underwear and subjected her to physical assault.
Mwangi accused the Kenyan government of failing to intervene in his detention. “My government let me down. They sided with Suluhu’s government and claimed we were interfering with Tanzanian politics,” he said.
These three women fought not just for independence from colonial rule, but also for space, voice and respect in societies that often ignored women’s power.
Ugandan authorities have confirmed that Agather remains in detention, with no public charges or access to legal support.