• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Rais Samia: Hatutakiwi kuwa na maofisa wa vitambi
Africa East Africa

Rais Samia: Hatutakiwi kuwa na maofisa wa vitambi

Asia GambaAugust 15, 2022August 15, 2022

Rais Samia ametoa agizo hilo leo Agosti 15, 2022 katika wilaya ya Mkinga mkoani Tanga wakati akizindua chuo cha mafunzo cha Jeshi la Uhamiaji cha Boma Kichakamiba ambacho kilianzishwa mwaka 2020.

Mfalme Zumaridi aibua hoja ya ugonjwa Mahakamani
Africa East Africa

Mfalme Zumaridi aibua hoja ya ugonjwa Mahakamani

Asia GambaAugust 15, 2022August 15, 2022

Kesi hiyo inayosikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza mbele ya Hakimu, Clescensia Mushi imeitwa leo Jumatatu Agosti 15, 2022 kwa ajili ya kuendelea na usikilizaji wa mashahidi watatu wa upande wa jamhuri.

Tanzania: Amuua mkewe na mtoto wake wa miaka miwili.
Africa East Africa

Tanzania: Amuua mkewe na mtoto wake wa miaka miwili.

Asia GambaAugust 12, 2022August 13, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Ijumaa, Agosti 12, 2022 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fotunatus Muslim, amesema mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo jana usiku.

Polisi wamshikilia mtuhumiwa aliyepanga njama za mauaji mkoani Katavi
Africa East Africa

Polisi wamshikilia mtuhumiwa aliyepanga njama za mauaji mkoani Katavi

Asia GambaAugust 11, 2022August 11, 2022

Jeshi la Polisi mkoani Katavi linamshikilia Machia Mbasa (65) kwa tuhuma za kudaiwa kulanjama za kujaribu kumuua Mabula Ntemange (37) huku chanzo kikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumnajisi mtoto wake wa kambo 
Africa East Africa

Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumnajisi mtoto wake wa kambo 

Asia GambaAugust 11, 2022August 11, 2022

Budeba alihukumiwa kifungo hicho katika mahakama hiyo baada ya kusikilizwa ushahidi ukiwamo wa mtoto, mama mzazi, majirani na daktari aliyempima mtoto huyo.

Dereva maarufu kwa jina la ‘Ndugu abiria’ kulipwa fidia ya milioni 150 baada ya picha yake kutumiwa kibiashara
Africa East Africa

Dereva maarufu kwa jina la ‘Ndugu abiria’ kulipwa fidia ya milioni 150 baada ya picha yake kutumiwa kibiashara

Asia GambaAugust 10, 2022August 10, 2022

Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imeiamuru Kampuni ya udalali ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya New Force, Waubani Linyama maarufu kwa jina la ‘Ndugu abiria’, fidia ya shilingi 150 milioni kwa kosa la kutumia picha yake kibiashara bila idhini yake.

Soko la Njombe kuwa na kituo maalum cha kulelea watoto
Africa East Africa

Soko la Njombe kuwa na kituo maalum cha kulelea watoto

Asia GambaAugust 10, 2022August 10, 2022

Akizungumzaia ujenzi wa soko hilo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amesema ujenzi wa soko hilo umegharimu 10.2 bilioni.

Pasi za kusafiria kikwazo kwa Wakenya wanaopiga kura uchaguzi wa Kenya
Africa East Africa

Pasi za kusafiria kikwazo kwa Wakenya wanaopiga kura uchaguzi wa Kenya

Asia GambaAugust 9, 2022August 9, 2022

Upigaji kura huo umefanyika leo Agosti 9, 2022 katika Ubalozi wa Kenya nchini Tanzania, ukihusisha vituo viwili vilivyoandikisha wapigakura 496 kila kimoja kwa Jiji la Dar es Salaam.

Rais Samia: Kila la kheri Wakenya 
Africa East Africa

Rais Samia: Kila la kheri Wakenya 

Asia GambaAugust 9, 2022August 9, 2022

Amewataka Wakenya “kudumisha amani, umoja na mshikamano” na kuongeza “kila la kheri”.

Msimamo wa serikali ya Tanzania kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta
Africa East Africa

Msimamo wa serikali ya Tanzania kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta

Asia GambaAugust 5, 2022August 6, 2022

Mapema wiki hii Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), ilitangaza bei mpya za ukomo wa mafuta, ikionesha Jiji la Dar es Salaam lita moja ya petroli ni shilingi  3,410 na shilingi 3,322 kwa dizeli, huku mafuta ya taa yakifika shilingi 3,765.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy