• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Rufaa ya akina na Mdee na wenzake kusikilizwa kesho
Africa East Africa

Rufaa ya akina na Mdee na wenzake kusikilizwa kesho

Asia GambaJune 28, 2022June 28, 2022

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio la muda la kutofanyika chocolate kwenye ubunge wa Halima Mdee na…

Wanawake waongoza kwa kuugua ugonjwa wa saratani
Africa East Africa

Wanawake waongoza kwa kuugua ugonjwa wa saratani

Asia GambaJune 28, 2022June 28, 2022

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amekiri kuwepo kwa idadi kubwa ya wanawake wanaougua Saratani.

Afariki kwa kuteketea kwa moto baada ya magari kugongana na kisha kuwaka moto.
Africa East Africa

Afariki kwa kuteketea kwa moto baada ya magari kugongana na kisha kuwaka moto.

Asia GambaJune 28, 2022June 28, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ,Urlich Matei amesema ajali hiyo imetokea jana June 27, 2022 saa 12 asubuhi.

Tozo ya ving’amuzi nchini Tanzania yapunguzwa
Africa East Africa

Tozo ya ving’amuzi nchini Tanzania yapunguzwa

Asia GambaJune 27, 2022June 27, 2022

Hayo yamesemwa leo Jumatatu Juni 2022/2023 na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo wakati akiwasilisha maoni ya kamati yake kuhusiana na Muswada wa Sheria ya Fedha 2022.

Ummy: Tunataka utafiti kuhusu dawa za saratani
Africa East Africa

Ummy: Tunataka utafiti kuhusu dawa za saratani

Asia GambaJune 27, 2022June 27, 2022

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameitaka bodi mpya ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road kufanya tafiti za dawa za saratani, ili kujibu maswali ya wananchi.

Mahakama yamfutia hukumu aliyemtukana mama yake mzazi
Africa East Africa

Mahakama yamfutia hukumu aliyemtukana mama yake mzazi

Asia GambaJune 27, 2022June 27, 2022

Uamuzi huo umetolewa na Jaji Juliana Masabo wa mahakama hiyo, ambaye alisema mrufani (Zarina) alikuwa na hoja saba za kupinga hukumu hiyo iliyomtia hatiani ikiwa ya Mahakama ya Ilala kukosea kumtia hatiani na kumfunga mrufani kwa kuwa mashtaka dhidi yake hayakuthibitishwa pasipo kuacha shaka na upande wa mashtaka.

Has the Tanzanian Government started opening up to ‘Katiba mpya sasa’?
East Africa

Has the Tanzanian Government started opening up to ‘Katiba mpya sasa’?

Aska MakoriJune 24, 2022June 24, 2022

The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said earlier this week it had agreed to revive a stalled process to review the constitution “for the greater national interest”.

Wafanyabiashara watatu wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia TRA hasara ya zaidi ya  shilingi bilioni 10.5
Africa East Africa

Wafanyabiashara watatu wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia TRA hasara ya zaidi ya  shilingi bilioni 10.5

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali wa TRA, Medalakini Godwini alidai watatu hao walitenda makosa hayo kati ya Januari 2018 na Juni 15,2022 jijini Dar es Salaam.

Miradi ya Maendeleo yatajwa kuwa chanzo cha ongezeko la deni la Taifa nchini Tanzania.
Africa East Africa

Miradi ya Maendeleo yatajwa kuwa chanzo cha ongezeko la deni la Taifa nchini Tanzania.

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Akihitimisha mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema deni hilo haliongezeki kwa sababu ya matumizi ya kawaida ya Serikali.

Tanzania  kupitia miongozo kupunguza michango shuleni
Africa East Africa

Tanzania  kupitia miongozo kupunguza michango shuleni

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Katika majadala huo, baadhi ya wabunge waliiomba Serikali itatue changamoto ya utitiri wa michango ya wanafunzi shuleni, ili azma yake ya kufuta ada kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha tano na sita kwa ajili ya kuwapunguzia mzigo wananchi, iwe na tija.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy