Rufaa ya akina na Mdee na wenzake kusikilizwa kesho
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio la muda la kutofanyika chocolate kwenye ubunge wa Halima Mdee na…
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio la muda la kutofanyika chocolate kwenye ubunge wa Halima Mdee na…
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amekiri kuwepo kwa idadi kubwa ya wanawake wanaougua Saratani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ,Urlich Matei amesema ajali hiyo imetokea jana June 27, 2022 saa 12 asubuhi.
Hayo yamesemwa leo Jumatatu Juni 2022/2023 na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo wakati akiwasilisha maoni ya kamati yake kuhusiana na Muswada wa Sheria ya Fedha 2022.
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameitaka bodi mpya ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road kufanya tafiti za dawa za saratani, ili kujibu maswali ya wananchi.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Juliana Masabo wa mahakama hiyo, ambaye alisema mrufani (Zarina) alikuwa na hoja saba za kupinga hukumu hiyo iliyomtia hatiani ikiwa ya Mahakama ya Ilala kukosea kumtia hatiani na kumfunga mrufani kwa kuwa mashtaka dhidi yake hayakuthibitishwa pasipo kuacha shaka na upande wa mashtaka.
The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said earlier this week it had agreed to revive a stalled process to review the constitution “for the greater national interest”.
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali wa TRA, Medalakini Godwini alidai watatu hao walitenda makosa hayo kati ya Januari 2018 na Juni 15,2022 jijini Dar es Salaam.
Akihitimisha mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema deni hilo haliongezeki kwa sababu ya matumizi ya kawaida ya Serikali.
Katika majadala huo, baadhi ya wabunge waliiomba Serikali itatue changamoto ya utitiri wa michango ya wanafunzi shuleni, ili azma yake ya kufuta ada kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha tano na sita kwa ajili ya kuwapunguzia mzigo wananchi, iwe na tija.