Mkenya azuiliwa DR Congo kwa shambulio la bomu kanisani na kusababisha vifo vya watu 10
Tukio hilo la Kasindi, karibu na mpaka wa Uganda lilisababisha vifo vya watu 10 na liliacha takriban watu wengine 39 kujeruhiwa
Tukio hilo la Kasindi, karibu na mpaka wa Uganda lilisababisha vifo vya watu 10 na liliacha takriban watu wengine 39 kujeruhiwa
Rais Museveni ameweka marufuku ya kusafiri nje ya nchi kwa Wabunge na watumishi wa umma ili kuokoa pesa kwa sekta zingine zinazopewa kipaumbele
Justice Kenneth Kakuru, announcing the ruling of the court’s five-judge panel, found the article in the 2011 law contravened the East African country’s constitution and was “null and void”.
TikTok is the equivalent of “digital fentanyl,”, one of the leading voices in Congress against China, comparing the app to the deadly opioid.
Takriban watu tisa walifariki katika msongamano wa watu waliokuwa wakisherehekea mwaka mpya katika mji mkuu wa Uganda siku ya Jumapili, polisi walisema
Wilaya mbili za kati katikati mwa mlipuko huo, Mubende na Kassanda, ziliwekwa chini ya kizuizi na Rais Yoweri Museveni mnamo Oktoba 15
Hii ilikuwa baada ya Dkt Besigye kukosa kufika kortini mnamo Desemba 14
Timu ya taifa ya kandanda ya Uganda, Cranes, imejiondoa katika michuano ya Mataifa ya Afrika kutokana na ukosefu wa fedha
Maafisa wa usalama wa Uganda wamezuilia boti nane za wavuvi, ambazo wamiliki wake raia wa Kenya walituhumiwa kwa kuingia katika Ziwa Victoria
Rais alisema sekta ndogo ya uvuvi inachangia asilimia nne kwenye Pato la Taifa (GDP) na ni ya pili kwa mauzo ya nje ya Uganda baada ya kahawa