• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Uhuru Kenyatta

Mheshimu Uhuru Kenyatta isipokuwa unataka kufia madarakani – Raila
East Africa People Politics

Mheshimu Uhuru Kenyatta isipokuwa unataka kufia madarakani – Raila

Joy CheptooMay 22, 2023May 22, 2023

Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.

Jaribu wengine sio mimi! Uhuru awakashifu wanasiasa
East Africa People Politics

Jaribu wengine sio mimi! Uhuru awakashifu wanasiasa

Joy CheptooMay 22, 2023May 22, 2023

Kiongozi huyo wa chama hicho alisema kuwa Jubilee itasalia imara na kuungana kuwa kitu kimoja

Wahuni wavamia shamba la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi
East Africa People Politics

Wahuni wavamia shamba la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi

Joy CheptooMarch 27, 2023March 27, 2023

Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi

Mbona usalama wa Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta umepunguzwa?
East Africa People Politics

Mbona usalama wa Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta umepunguzwa?

Joy CheptooFebruary 3, 2023February 3, 2023

Inspekta Jenerali alitupilia mbali madai yoyote kwamba uamuzi huo ulichochewa kisiasa

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutohudhuria mkutano wa kurejesha amani Ethiopia
Africa Politics

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutohudhuria mkutano wa kurejesha amani Ethiopia

Victor WanaswaOctober 7, 2022July 2, 2024

Mkutano huo unafaa kufanyika nchini Afrika Kusini kuanzia kesho chini ya uongozi wa aliyekuwa rais wa Nigeria Olesgun Obasanjo.

President William Ruto oversees swearing in of the 6 new judges
Africa East Africa Politics

President William Ruto oversees swearing in of the 6 new judges

Joan WafulaSeptember 14, 2022September 14, 2022

In His speech after the swearing in of the 6 judges, President Ruto admitted that there is need to support the judiciary to dispense justice.

Raila Odinga on why he will not attend Ruto’s inauguration
Politics

Raila Odinga on why he will not attend Ruto’s inauguration

Joan WafulaSeptember 12, 2022September 12, 2022

Odinga acknowledged that Ruto had personally invited him to the inauguration ceremony but said he would not honor the invite since he is out of the country and that he still holds “serious concerns” about the August 9th elections in which Ruto was declared the winner.

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua
Features People Politics

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais
Features People Politics

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.

Ethiopia yafanya mkutano wa kwanza wa kamati ya amani
Africa Features People Politics

Ethiopia yafanya mkutano wa kwanza wa kamati ya amani

Maureen MedzaJuly 13, 2022July 13, 2022

Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo