Mheshimu Uhuru Kenyatta isipokuwa unataka kufia madarakani – Raila
Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.
Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.
Kiongozi huyo wa chama hicho alisema kuwa Jubilee itasalia imara na kuungana kuwa kitu kimoja
Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi
Inspekta Jenerali alitupilia mbali madai yoyote kwamba uamuzi huo ulichochewa kisiasa
Mkutano huo unafaa kufanyika nchini Afrika Kusini kuanzia kesho chini ya uongozi wa aliyekuwa rais wa Nigeria Olesgun Obasanjo.
In His speech after the swearing in of the 6 judges, President Ruto admitted that there is need to support the judiciary to dispense justice.
Odinga acknowledged that Ruto had personally invited him to the inauguration ceremony but said he would not honor the invite since he is out of the country and that he still holds “serious concerns” about the August 9th elections in which Ruto was declared the winner.
Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.
Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema