Tag: Volodomyr Zelensky
Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi
Ziara hiyo iliandaliwa baada ya mwaliko wa Putin, na Sall atasafiri na rais wa Tume ya Umoja wa Afrika
Urusi: Mpango wa Uswidi na Ufini kutaka kujiunga na NATO ni ‘kosa kubwa’
Urusi ilionya Jumatatu kwamba maamuzi ya Finland na Uswidi kujiunga na muungano wa kijeshi wa NATO yalikuwa makosa makubwa na Moscow itachukua hatua.
Umoja wa Mataifa watoa wito wa kukomesha vita vya Urusi nchini Ukraine
UN na mataifa kadhaa yametoa wito kusitisha vita vya Urusi nchini Ukraine, huku kukiwa hakuna uwezekano wa kufufua mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili.
Rais wa Afrika Kusini, Ramaphosa afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu
Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.
Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.
Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.
Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.
Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine
Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.