• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Yoweri Museveni

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda

Asia GambaJune 30, 2026

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala
East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala

Asia GambaJune 29, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor
Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Bobi Wine Says He Has Left Uganda After Weeks in Hiding
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Uganda

Bobi Wine Says He Has Left Uganda After Weeks in Hiding

Joy CheptooMarch 16, 2026March 16, 2026

In a video message shared online, Wine said he had left Uganda to handle what he described as critical engagements abroad and promised to return.

Kiongozi wa upinzani Uganda ajificha, mwingine akiwa mahututi hospitalini
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda ajificha, mwingine akiwa mahututi hospitalini

Asia GambaJanuary 22, 2026January 23, 2026

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema yuko mafichoni kufuatia uchaguzi wa wiki iliyopita, huku kiongozi mwingine wa upinzani, Kizza Besigye, akiwa mahututi kutokana na hali mbaya ya afya, kwa mujibu wa mke wake.

Gen Muhoozi deletes tweets threatening Bobi Wine
Africa East Africa Uganda

Gen Muhoozi deletes tweets threatening Bobi Wine

Kevin SeweJanuary 21, 2026January 23, 2026

Uganda’s President Yoweri Museveni’s son, Gen. Muhoozi Kainerugaba, has deleted a series of threatening posts he directed at supporters of the National Unity Platform (NUP) and opposition leader Robert Kyangulanyi, also known as Bobi Wine.

Polls Close in Uganda After Delays, Internet Blackout
Africa East Africa Politics Uganda

Polls Close in Uganda After Delays, Internet Blackout

Wadh KassimJanuary 15, 2026

Polls closed in Uganda on Thursday after a chaotic day of voting that took place under an internet blackout and with long delays caused by technical breakdowns as President Yoweri Museveni seeks to extend his 40 years in power.

Uganda Election Hit by Delays After Internet Blackout
Africa East Africa Politics Uganda

Uganda Election Hit by Delays After Internet Blackout

Wadh KassimJanuary 15, 2026

Some linked the problems to an internet blackout imposed by the government on Tuesday despite repeated promises not to do so.

Uganda Opposition Says Voting Deliberately Delayed Amid Internet Blackout
Africa East Africa Politics Uganda

Uganda Opposition Says Voting Deliberately Delayed Amid Internet Blackout

Wadh KassimJanuary 15, 2026

In many areas, voting had yet to start hours after polls were due to open as biometric machines — used to verify voters’ identity — were malfunctioning and ballot boxes were undelivered

Kiongozi wa upinzani Uganda Bobi Wine aonya maandamano endapo uchaguzi utahujumiwa
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda Bobi Wine aonya maandamano endapo uchaguzi utahujumiwa

Asia GambaJanuary 13, 2026

Zaidi ya watu milioni 20 wamejiandikisha kupiga kura katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Museveni mwenye umri wa miaka 81 akitarajiwa kwa kiasi kikubwa kuendelea kutawala kwa muhula mwingine, akisaidiwa na udhibiti wake mkubwa wa vyombo vya dola na usalama baada ya zaidi ya miongo minne madarakani.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy