• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: February 25, 2022

Dkt. Ndumbaro: EXPO2020 Dubai yaiweka Tanzania katika ramani ya dunia.
East Africa

Dkt. Ndumbaro: EXPO2020 Dubai yaiweka Tanzania katika ramani ya dunia.

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro amesema Maonesho ya Kibiashara ya Expo2020 Dubai yanazidi kuiweka Tanzania katika ramani ya dunia

KENYA: Mwanafunzi ahukumiwa jela miaka mitano kwa kosa la kuua bila kukusudia
Africa East Africa

KENYA: Mwanafunzi ahukumiwa jela miaka mitano kwa kosa la kuua bila kukusudia

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Msichana mmoja raia wa Kenya amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kuua bila kukusudia kufuatia kuchoma moto katika bweni la shule na kuua wenzake tisa.

China yaunga mkono kutatua mgogoro wa Ukraine kwa mazungumzo
Africa Asia

China yaunga mkono kutatua mgogoro wa Ukraine kwa mazungumzo

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Televisheni ya taifa ya China CCTV imeripoti kuwa rais wa nchi hiyo, Xi Jinping, amemwambia mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwamba Beijing inaunga mkono Moscow katika juhudi za kutatua mgogoro wa Ukraine.

Majaliwa:Tutaendelea kushirikiana na mataifa mengine kudumisha amani Afrika.
East Africa

Majaliwa:Tutaendelea kushirikiana na mataifa mengine kudumisha amani Afrika.

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Waziri Mkuu wa Tanzania  Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na mataifa mengine ili kuhakikisha amani, ushirikiano, ustawi wa kijamii na kiuchumi unaendelea kushamiri katika nchi zote za Bara la Afrika.

Erdogan accuses NATO, EU of failure to act over Ukraine
Europe International War & Conflicts

Erdogan accuses NATO, EU of failure to act over Ukraine

Mwanzo EditorFebruary 25, 2022July 2, 2024

“The EU and other pro-Western (bodies) have failed to take a serious and determined stance at the moment.”

Fainali UEFA kuchezwa Parisi badala ya Urusi
East Africa Sports

Fainali UEFA kuchezwa Parisi badala ya Urusi

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Fainali ya Ligi ya Mabingwa 2022 itachezwa jijini Paris baada ya Urusi kuvuliwa uwenyeji wa mechi hiyo kufuatia uvamizi wa taifa hilo nchini Ukraine.

Hakuna Mtanzania aliyepata madhara yoyote nchini Ukraine
Africa East Africa

Hakuna Mtanzania aliyepata madhara yoyote nchini Ukraine

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kuwa hadi sasa hakuna Mtanzania aliyepata madhara yoyote kufuatia hali inayoendelea nchini Ukraine na kusababisha Serikali ya nchi hiyo kutangaza hali ya hatari Februari 24.

Auawa  baada ya kutaka kumbaka Mwanafunzi wa kidato cha pili.
Africa East Africa

Auawa  baada ya kutaka kumbaka Mwanafunzi wa kidato cha pili.

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Kijana  anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 18 hadi 22 ameuawa na mwili wake kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali waliodai kuwa kuwa alijaribu kutaka kumbaka mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari iliyopo Kata ya Bombambili mjini Geita.

Mwanafunzi aandika barua ya kuacha shule kisa uvuvi
East Africa

Mwanafunzi aandika barua ya kuacha shule kisa uvuvi

Asia GambaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Mwanafunzi aliyechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati iliyopo mkoani Mtwara, Tanzania, amemuandikia barua mkuu wa shule hiyo ya kukataa kusoma shule.

Umoja wa Afrika walaani mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine
Africa Europe Features International People Politics

Umoja wa Afrika walaani mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine

Maureen MedzaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Mwenyekiti wa sasa wa muungano huo, Rais wa Senegal Macky Sall amesema ‘ana wasiwasi mkubwa’ na uvamizi huo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo