• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 15, 2022

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani
Europe Features International Politics

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Mwezi huu Urusi ilipitisha vifungo vya sheria vya kifungo cha hadi miaka 15 jela kwa kueneza habari za uwongo zenye lengo la kudhalilisha jeshi lake, pamoja na kifungo cha hadi miaka 3 jela kwa kuitisha vikwazo dhidi ya Urusi.

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Amuua mkewe na mtoto wake kisa gunia 60 za mpunga
Africa East Africa

Amuua mkewe na mtoto wake kisa gunia 60 za mpunga

Asia GambaMarch 15, 2022March 15, 2022

Chanzo cha tukio hilo ni ugomvi wa kifamilia kati ya wanandoa hao kugombania magunia 60 ya mpunga

Polisi Tanzania yataja chanzo cha askari wake kumuua raia mkoani Kigoma
Africa East Africa

Polisi Tanzania yataja chanzo cha askari wake kumuua raia mkoani Kigoma

Asia GambaMarch 15, 2022March 15, 2022

Yasema askari wake alikuwa kwenye harakati za kujihami kutokana na vurugu zilizotokea.

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Licha ya kukabiliwa na jeshi la nchi hiyo — na usaidizi kutoka kwa vikosi vya Uganda, vilivyoanza kukabiliana na waasi mwishoni mwa Novemba – mashambulizi ya ADF yameendelea.

Hukumu rufaa ya Sabaya na wenzake kutolewa Mei 6
Africa East Africa

Hukumu rufaa ya Sabaya na wenzake kutolewa Mei 6

Asia GambaMarch 15, 2022March 15, 2022

Mbali na Sabaya waomba rufaa wengine ni Sylvester Nyegu na Daniel Mbura ambapo rufaa hiyo ilikuwa inasikilizwa na Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Sedekia Kisanya.

Balozi Polepole kupewa somo chuo cha Diplomasia kabla ya kwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Malawi.
Africa East Africa

Balozi Polepole kupewa somo chuo cha Diplomasia kabla ya kwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Malawi.

Asia GambaMarch 15, 2022March 15, 2022

Jana Machi 14, Rais Samia alimteua Polepole kuwa balozi ambaye anakwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Malawi, ambapo kabla ya nafasi alikuwa ni mbunge wa kuteuliwa na Rais.

Polisi wa Uganda wathibitisha kukamatwa kwa mwandishi na wanahabari wanane
Africa East Africa Features People Politics

Polisi wa Uganda wathibitisha kukamatwa kwa mwandishi na wanahabari wanane

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Tumuhimbise, ambaye anaongoza vuguvugu la The Alternative Movement na jukwaa la mtandaoni la Alternative Digitalk, alitarajiwa kuzindua kitabu cha kumkosoa Rais Yoweri Museveni mnamo Machi 30.

Shahidi wa sita kesi ya Sabaya aomba ulinzi akiwa gerezani, adai kuwa Sabaya ni mtu hatari
Africa East Africa

Shahidi wa sita kesi ya Sabaya aomba ulinzi akiwa gerezani, adai kuwa Sabaya ni mtu hatari

Asia GambaMarch 15, 2022March 15, 2022

Amedai madai hayo jana mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati akijitetea

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo