• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 18, 2022

EU inakanusha kutumia vigezo viwili tofauti kushughulikia wakimbizi wa Syria na wale wa Ukraine
Europe International Middle East War & Conflicts

EU inakanusha kutumia vigezo viwili tofauti kushughulikia wakimbizi wa Syria na wale wa Ukraine

Maureen MedzaMarch 18, 2022July 2, 2024

Zaidi ya watu milioni 1 wengi wao kutoka Syria walifika ufuo wa Ulaya mwaka 2015, lakini hawakupewa hadhi ya ulinzi wa moja kwa moja.

Mbowe:Kauli ya Spika Tulia ni Ulaghai wa kisiasa
Africa East Africa

Mbowe:Kauli ya Spika Tulia ni Ulaghai wa kisiasa

Asia GambaMarch 18, 2022March 18, 2022

Ni kuhusu wabunge 19 wanaowakilisha bungeni kama wanachama wa CHADEMA licha ya kuwa wamevuliwa uanachama wa chama hicho.

CHADEMA yaweka msimamo wa kutoshiriki kongamano la TCD
Africa East Africa

CHADEMA yaweka msimamo wa kutoshiriki kongamano la TCD

Asia GambaMarch 18, 2022March 18, 2022

Msimamo huo umetolewa leo Machi18, 2022, jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wakati akitoa maazimio ya kikao cha Kamati Kuu ya Chadema, kilichofanyika Machi 16 hadi usiku wa kuamkia Machi 17.

Finland imetajwa kama nchi yenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa tano
Europe Features

Finland imetajwa kama nchi yenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa tano

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

Finland inajulikana kwa huduma zake za umma zinazofanya kazi vizuri, imani iliyoko katika mamlaka na viwango vya chini vya uhalifu na usawa kati ya jamii.

How were scientists able to know how COVID19 virus spreads within a population?
Lifestyle & Health

How were scientists able to know how COVID19 virus spreads within a population?

Leah NgariMarch 18, 2022March 25, 2022

R0 measures how fast a virus is spreading and the average number of people who can be contaminated by an infected person.

Vita vya Ukraine: Bei za bidhaa muhimu zapanda na mfumuko wa bei washuhudiwa Afrika
Africa Europe Features International

Vita vya Ukraine: Bei za bidhaa muhimu zapanda na mfumuko wa bei washuhudiwa Afrika

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

“Vita vya Ukraine vinamaanisha njaa barani Afrika,” Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Kristalina Georgieva alisema Jumapili.

Kenya yachunguza wizi wa kondomu na dawa zilizotolewa na shirika la misaada Global Fund
East Africa Features Lifestyle & Health

Kenya yachunguza wizi wa kondomu na dawa zilizotolewa na shirika la misaada Global Fund

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

Takribani kondomu milioni 1.1, vyandarua 908,000 na dawa za kifua kikuu zenye thamani ya $91,000 ziliibwa kutoka kwa ghala ya (KEMSA)

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo