Bitcoin and everything you need to know about it
Many observers are concerned about the possible use of cryptocurrencies to circumvent sanctions
Many observers are concerned about the possible use of cryptocurrencies to circumvent sanctions
Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.
Amesema mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 10 Desemba 2021 ikilinganishwa na asilimia 3.1 Desemba 2020.
The latest peace deal was signed in 2020, but since a military coup in October, Darfur has seen violence spike.
“The number of refugees from Ukraine, tragically, has reached today 2.5 million,” UN Refugee Agency’s chief Filippo Grandi.
The Ethiopian Human Rights Commission said at least 403 civilians died in air raids, drone strikes and heavy artillery fire.
Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.
Rais alimuondoa Papa Amadou Sarr kutoka wadhifa wake wa uwaziri kama mjumbe mkuu katika shirika linaloitwa Fast-track Entrepreneurship for Women and Young People
OCHA imesema mapigano katika eneo lenye utajiri mkubwa wa mafuta la Abyei kwenye mpaka na Sudan yamesababisha vifo vya watu 36 kufikia Machi 6, huku idadi isiyojulikana wakijeruhiwa na wengine 50,000 wakiripotiwa kuhama makazi yao.
Mwanaume huyo wa Kimasai, 45, alifariki dunia papo hapo katika shambulio la tembo Jumatano wakati kundi la wakazi hao lilipokwenda kukusanya kuni