UN: At least 440 civilians killed in South Sudan clashes
The attackers reportedly moved in small groups, dressed in black, concealed their faces and spoke a combination of languages.
The attackers reportedly moved in small groups, dressed in black, concealed their faces and spoke a combination of languages.
Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.
Nearly 1,000 tourists from Ukraine were staying at different hotels in the semi-autonomous region, according to Zanzibar’s Tourism Ministry.
“Nimeridhika kwamba kuna msingi mzuri wa kuamini kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu umefanywa nchini Ukraine” tangu 2014, Karim khan
Ujumbe wa Urusi katika Umoja wa Mataifa una takriban wafanyikazi 100, kulingana na chanzo cha kidiplomasia cha Urusi.
Kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ukraine mlipuko huo uliharibu pia jengo la serikali, na kuzidi kuleta hofu kwa raia.
Vikwazo vya kiuchumi pia vinajumuisha kufungia mali ya benki na ya watu binafsi bila kujumuisha benki fulani za Kirusi kutoka kwa interbank SWIFT na udhibiti wa mauzo ya nje.
Waafrika nchini Ukraine, wengi wao wakiwa wanafunzi, ni miongoni mwa mamia ya maelfu ya watu wanaojaribu kukimbilia Poland na mataifa mengine jirani.
Klabu ya SIMBA inatarajiwa kurejea nchini leo mchana majira ya saa saba ikitokea Morocco baada ya kumalizika kwa michezo yao miwili ya Kombe la Shirikisho.
Historia na utamaduni wa Urusi na Ukraine unafanana- wanashiriki dini moja ya Kikristo ya Orthodox, na lugha zao, mila na vyakula vya kitaifa vinafanana.