• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2022

Mashirika 19 ya Umma yapata hati zenye mashaka
Africa East Africa

Mashirika 19 ya Umma yapata hati zenye mashaka

Asia GambaMarch 30, 2022March 30, 2022

CAG Kichere ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2021 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema
Asia Middle East

Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Inasemekana jamaa alikuwa ameota kwamba mwanamke aliyekufa “amemkufuru” Mtume Mohammed, maafisa walisema,

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022
Africa Features Football Sports

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo
Africa East Africa Features People Politics

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo

Dkt Mpango amuwakilisha Rais Samia Jukwaa la 8 la Wakuu wa Nchi na Serikali Duniani
Africa East Africa

Dkt Mpango amuwakilisha Rais Samia Jukwaa la 8 la Wakuu wa Nchi na Serikali Duniani

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Hapo kesho tarehe 30 Machi 2022 Makamu wa Rais Dkt. Mpango anatarajiwa kuzungumza katika jukwaa hilo akichangia mada ya “kwanini Afrika imekua ni muhimu sana kwa wakati huu katika uchumi wa dunia”

Othmani:Sheria ya Uchochezi inatoa fursa kutumika vibaya
Africa East Africa

Othmani:Sheria ya Uchochezi inatoa fursa kutumika vibaya

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Othman alisema uzoefu wake kama mwendesha mashtaka umemwaminisha kuwa sheria za uchochezi ni kikwazo kwa uhuru wa habari.

“Acheni kuua” Rais wa El Salvador ayaonya magenge ya uhalifu
Features International

“Acheni kuua” Rais wa El Salvador ayaonya magenge ya uhalifu

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Idadi kubwa ya mauaji yaliyoshuhudiwa mwishoni mwa juma yalidaiwa kuamriwa na magenge ya Mara Salvatrucha (MS-13) na Barrio 18.

DRC ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
Africa East Africa

DRC ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

DRC imepitishwa leo Machi 29, 2022 katika mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa EAC uliofanyika kwa njia ya mtandao chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Wahamiaji haramu 77 wakamatwa
Africa East Africa

Wahamiaji haramu 77 wakamatwa

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Kati ya wahamiaji hao, wiki iliyopita walikamatwa 24 na wameshaondoshwa, leo wamekamatwa 24 mjini Geita, Chato wamekamatwa 15 na Bukombe wahamiaji 14 na wapo katika utaratibu wa kuwaondosha.

RPC aliyetamani U-IGP nchini Tanzania apelekwa makao makuu ya jeshi hilo kupisha uchunguzi       
Africa East Africa

RPC aliyetamani U-IGP nchini Tanzania apelekwa makao makuu ya jeshi hilo kupisha uchunguzi       

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Mabadiliko hayo yamefanyika leo, ambapo nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), William Mwampagale

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo