• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2022

Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kulawiti mtoto wa miaka saba.
Africa East Africa

Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kulawiti mtoto wa miaka saba.

Asia GambaMarch 22, 2022March 22, 2022

Godi ambaye aliajiriwa kulisha ng’ombe wa bibi wa mtoto huyo alidaiwa kumtoa mwathirika chumbani kwake na kumpeleka chumba anacholala na kuanza kumbaka huku akiwa amemziba mdomo na kumtisha asimwambie mtu alichofanyiwa.

Hong Kong martial arts teacher charged over sedition, weapons
Asia Crime & Justice

Hong Kong martial arts teacher charged over sedition, weapons

Mwanzo EditorMarch 22, 2022July 2, 2024

The suspects are accused of posting anti-government messages including calls to topple China’s communist regime.

China yafunga jiji la watu milioni 9, kutokana na virusi vya C0VID-19.
Africa Asia

China yafunga jiji la watu milioni 9, kutokana na virusi vya C0VID-19.

Asia GambaMarch 22, 2022March 22, 2022

Siku ya Jumamosi iliripoti vifo viwili vya Covid-19 ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka huu.

Tanzania yafatilia uwapo wa aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19.
Africa East Africa

Tanzania yafatilia uwapo wa aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19.

Asia GambaMarch 22, 2022March 22, 2022

Kirusi hicho, kinajumuisha kirusi cha Delta na Omicron, ambacho kimejiunda na kuwa kirusi kipya cha Omicron BA.1.

Shambulizi laua wanajeshi 13 Burkina Faso
Africa East Africa

Shambulizi laua wanajeshi 13 Burkina Faso

Asia GambaMarch 21, 2022March 21, 2022

Taarifa ya Jeshi la Burkina Faso imesema Kikosi cha kijeshi kilichokuwa katika operesheni ya usalama katika eneo la Mashariki kilikabiliana na kundi la watu wenye silaha takriban kilomita ishirini mashariki mwa eneo la Natiaboani, jana Jumapili, Machi 20, 2022

Ukraine yakaidi masharti ya Urusi ya kusalimu amri katika mji wa Mariupol
Europe War & Conflicts

Ukraine yakaidi masharti ya Urusi ya kusalimu amri katika mji wa Mariupol

Asia GambaMarch 21, 2022July 2, 2024

Urusi ilikuwa imeipa Ukraine hadi saa kumi na moja alfajir ya leo kuwa imesalimu amri mjini Mariupol, lakini haikusema itafanya nini ikiwa Ukraine itakataa kuheshimu matakwa yake.

Mtoto wa miaka 14 adaiwa kuwalawiti watoto wenzie 19.
Africa East Africa

Mtoto wa miaka 14 adaiwa kuwalawiti watoto wenzie 19.

Asia GambaMarch 21, 2022March 21, 2022

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Allan Bukumbi ni kwamba Mtoto huyo anadaiwa kutumia pipi na biskuti kama njia ya kuwalaghai wenzake ili akamilishe adhma yake ya kuwalawiti.

Nearly 3.5 million Ukrainians flee the country: UN
Europe United Nations War & Conflicts

Nearly 3.5 million Ukrainians flee the country: UN

Mwanzo EditorMarch 21, 2022July 30, 2024

Women and children account some 90 percent of those who have fled.

Kikosi kazi chapendekeza mchakato wa Katiba Mpya Tanzania uanze baada ya uchaguzi 2025
Africa East Africa

Kikosi kazi chapendekeza mchakato wa Katiba Mpya Tanzania uanze baada ya uchaguzi 2025

Asia GambaMarch 21, 2022March 21, 2022

Kazi kubwa ya kikosi kazi hicho ni kuangalia na kuchambua mwenendo wa hali ya demokrasia na namna ya kutatua changamoto zinazoikumba baadhi ya vyama vya siasa, ikiwemo mikutano ya hadhara.

When should you buy or sell shares?
Africa Business / Finance East Africa People

When should you buy or sell shares?

Leah NgariMarch 21, 2022March 21, 2022

You must be at least 18 years old to open a brokerage account and trade shares.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo