Aliyemrekodi Prof Jay akiwa ICU apandishwa kizimbani
Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwanaamina Kombakono.
Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mwanaamina Kombakono.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzania, Hamad Masauni, amewaomba wabunge, wananchi na wadau kushirikiana katika ujenzi wa vituo vya polisi kwa kuwa ina uhitaji wa vituo vya polisi daraja B, 470
Watu hao17 wanahusishwa na kisa cha machafuko ambapo helikopta iliyokuwa imembeba Odinga ilipigwa mawe
Baadhi ya abiria walitekwa nyara na walionusurika walisema watu wenye silaha wamewanyakua abiria kadhaa, lakini haijabainika ni wangapi.
Kwa sasa Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 287.6, kulingana na Forbes.
Mahakama ya Rufaa ya Rwanda Jumatatu ilipitisha hukumu ya kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya shujaa wa ‘Hotel Rwanda’ Paul Rusesabagina.
Hakuna treni za abiria za kutosha na barabara chache zinazoweza kutumiwa, kwa hivyo watu wanaohitaji kusafiri umbali mrefu mara nyingi husafiri kwa treni ya mizigo.
UN climate experts estimate that sharp cuts to demand for energy-guzzling services could slash emissions up to 70 percent by 2050.
Waendesha mashtaka wa serikali walikuwa wamekata rufaa dhidi ya hukumu ya awali, wakisema adhabu dhidi ya Paul Rusesabagina ni ndogo na inapaswa kuongezwa hadi kifungo cha maisha.
Uhaba huo ulianza wiki iliyopita magharibi mwa Kenya kufuatia mzozo kati ya makampuni ya uuzaji wa mafuta na serikali kuhusu malipo ya ruzuku, duru zilisema.