• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Kipindi maarufu, “Real Housewives of Dubai” chazinduliwa Dubai
Entertainment Features Middle East People

Kipindi maarufu, “Real Housewives of Dubai” chazinduliwa Dubai

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Kama vile mfululizo wa vipindi vya Real Housewives vinavyorekodiwa huko Amerika, onyesho hili litafuata maisha ya wanawake matajiri huko Dubai

Mashirika: Hatari ya njaa katika Pembe ya Afrika baada ya misimu minne ya mvua duni
Africa East Africa Features Lifestyle & Health

Mashirika: Hatari ya njaa katika Pembe ya Afrika baada ya misimu minne ya mvua duni

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Zaidi ya watu milioni 16.7 katika nchi hizo tatu wanakabiliwa na njaa kali huku idadi ikitarajiwa kuongezeka hadi milioni 20 ifikapo Septemba.

Serikali ya Zanzibar imesema itafidia gharama za chakula na mafuta  zilizochangiwa na vita vya Urusi 
Africa East Africa

Serikali ya Zanzibar imesema itafidia gharama za chakula na mafuta  zilizochangiwa na vita vya Urusi 

Asia GambaMay 31, 2022May 31, 2022

Kwa mujibu wa Dk. Mwinyi, serikali ya Zanzibar inatoa shilingi bilioni 3 kila mwezi kupunguza ongezeko katika bei ya mafuta ya petroli, dizeli na yale ya taa.

Ahakumiwa kunyongwa kwa kumuua mama yake mzazi
Africa East Africa

Ahakumiwa kunyongwa kwa kumuua mama yake mzazi

Asia GambaMay 31, 2022May 31, 2022

Mwanasheria Temba alidai mshtakiwa Mwinga alichukua uamuzi wa kumshambulia mama yake kwa kumniga shingo na kumnyonga hadi kufa.

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo
Africa Features

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Shambulio hilo lilitokea Jumapili jioni huko Bulongo katika jimbo la Kivu Kaskazini

Hukumu ya Sabaya na wenzake yaahirishwa
Africa East Africa

Hukumu ya Sabaya na wenzake yaahirishwa

Asia GambaMay 31, 2022May 31, 2022

Awali Hukumu hiyo ilikuwa isomwe leo Mei 31, 2022 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, lakini imeaairishwa na Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Arusha, Fadhili Mbelwa kwa maelezo kuwa hakimu Patricia Kisinda aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo yuko nje ya mkoa kikazi. 

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo
Africa Features

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Katika shambulio la hivi punde la waasi, watu 16 waliuawa 7 kujeruhiwa na magari yalichomwa wakati wa uvamizi wa usiku katika eneo lenye hali tete la mashariki, Shirika la Msalaba Mwekundu lilisema

Mahakama kuamua hatma ya Sabaya na wenzake leo
Africa East Africa

Mahakama kuamua hatma ya Sabaya na wenzake leo

Asia GambaMay 31, 2022May 31, 2022

Hukumu hiyo inatarajiwa kuamua hatima ya kiongozi huyo wa zamani na wenzake endapo wataachiwa huru, ama wataendelea kusalia kifungoni.

Senegal yawakamata watatu kwa vifo vya watoto wachanga kwenye moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal yawakamata watatu kwa vifo vya watoto wachanga kwenye moto hospitalini

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Mkasa huo ulikuwa wa hivi punde zaidi katika mfululizo wa matukio mabaya yaliyoangazia mapungufu katika mfumo wa afya wa Senegal.

Mbunge nchini Tanzania ataka wabakaji wahasiwe
Africa East Africa

Mbunge nchini Tanzania ataka wabakaji wahasiwe

Asia GambaMay 30, 2022May 30, 2022

Mbunge huyo ameyasema hayo kwa hisia kali ndani ya ukumbi wa bunge, wakati akichangia hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2022/2023 mjini Dodoma leo.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo