NCCR Mageuzi yaweka mgomo kushiriki vikao vya kikosi kazi
Chama hicho cha siasa za upinzania nchini Tanzania kimesema kushiriki mkutano huo ni kupoteza muda na kutumia vibaya rasilimali za Watanzania badala ya kujadili masuala muhimu ya uchumi kwa ajili ya wananchi