• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Waziri Mkuu mstaafu nchini Tanzania, aunganishwa kwenye kikosi kazi cha Rais Samia.
Africa

Waziri Mkuu mstaafu nchini Tanzania, aunganishwa kwenye kikosi kazi cha Rais Samia.

Asia GambaMay 30, 2022May 30, 2022

Pinda ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya awamu ya nne nchini humo amejukuishwa leo kwenye Kikosi hicho kilichoteuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, Jaji Francis Mutungi ikiwa mwezi mmoja sasa umepita tangu kuanza shughuli ya kukusanya maoni hayo.

Makalla: Chanzo cha moto soko la Veterinary ni hitilafu ya umeme.
Africa East Africa

Makalla: Chanzo cha moto soko la Veterinary ni hitilafu ya umeme.

Asia GambaMay 30, 2022May 30, 2022

Makalla amesema hayo alipotembelea soko hilo leo kujionea uharibifu wa mali zilizoteketea moto, ambapo amesema taarifa za awali zinaonesha moto huo umeathiri takribani vibanda 453.

Sheria ya Mtoto Na 21 ya mwaka 2009 nchini Tanzania kufanyiwa marekebisho kuakisi mazingira ya sasa.
Africa East Africa

Sheria ya Mtoto Na 21 ya mwaka 2009 nchini Tanzania kufanyiwa marekebisho kuakisi mazingira ya sasa.

Asia GambaMay 30, 2022May 30, 2022

Mchakato wa marekebisho ya Sheria hiyo unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Desemba, 2022.

Nigeria imethibitisha visa 21 vya ugonjwa wa Monkeypox tangu Januari
Africa Features Lifestyle & Health

Nigeria imethibitisha visa 21 vya ugonjwa wa Monkeypox tangu Januari

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Kituo cha Kudhibiti Magonjwa cha Nigeria (NCDC) kilisema kufikia Jumapili visa 66 vinavyoshukiwa kuwa vya Monkeypox vimeripotiwa katika majimbo tisa kati ya 36 nchini humo na katika mji mkuu Abuja.

Nigeria: Upinzani umemtaja aliyekuwa Makamu wa Rais kuwa mgombea wa uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Nigeria: Upinzani umemtaja aliyekuwa Makamu wa Rais kuwa mgombea wa uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Atiku Abubakar, mwenye umri wa miaka 75, Muislamu wa kaskazini na mwanasiasa wa chama cha People’s Democratic Party au PDP, amewania mara kadhaa tiketi ya urais wa nchi hiyo

Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo
Africa East Africa Features

Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Mzozo wa kidiplomasia kati ya majirani hao wawili unaongezeka, huku pande zote mbili zikishutumiana kusaidia wanamgambo wenye silaha katika eneo la Goma

Sudan yaondoa hali ya hatari iliyowekwa tangu mapinduzi ya mwaka jana
Africa Features People Politics

Sudan yaondoa hali ya hatari iliyowekwa tangu mapinduzi ya mwaka jana

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Sudan imekuwa ikikabiliwa na machafuko yanayozidi kuongezeka tangu Burhan aongoze mapinduzi mnamo Oktoba 25

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel
Features Middle East

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Mamlaka ya Palestina (PA) na Al Jazeera wameshutumu vikosi vya Israeli kwa kumuua Shireen Abu Akleh mnamo Mei 11 alipokuwa akiripoti operesheni ya Israeli katika mji wa Jenin, Ukingo wa Magharibi.

CCM yawaonya wanaoneza fitina
Africa East Africa

CCM yawaonya wanaoneza fitina

Asia GambaMay 27, 2022May 27, 2022

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, amewaonya viongozi waliopewa dhamana na chama hicho, kuacha kueneza fitina na majungu dhidi ya wengine wakati wa uchaguzi wa ndani.

Watumishi wa Umma nchini Tanzania waongezewa posho za safari.
Africa East Africa

Watumishi wa Umma nchini Tanzania waongezewa posho za safari.

Asia GambaMay 27, 2022May 27, 2022

Taarifa hiyo imetolewa leo Ijumaa Mei 27, 2022 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dk Laurean Ndumbaro.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo