• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao
Africa Features Politics

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria
Africa Features Politics

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Nigeria itakwenda uchaguzini Februari 2023 kumchagua mrithi wa Rais Muhammadu Buhari ambaye ataondoka uongozini baada ya kuhudumu kwa mihula miwili.

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso
Africa Features Politics

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11
Africa Features

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall amemfuta kazi waziri wake wa afya siku ya Alhamisi nchi hiyo ikiomboleza kifo cha watoto 11 katika moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme hospitalini

Waziri Majaliwa awataka wananchi wa Ngorongoro nchini Tanzania kutosikiliza maneno ya pembeni kwa kuwa Serikali haina nia mbaya.
Africa East Africa

Waziri Majaliwa awataka wananchi wa Ngorongoro nchini Tanzania kutosikiliza maneno ya pembeni kwa kuwa Serikali haina nia mbaya.

Asia GambaMay 27, 2022May 27, 2022

Kadhalika alisema serikali inaendelea kuimarisha sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wote nchini wanapata tija kupitia shughuli hiyo.

African Union to tackle humanitarian, political crises
Africa East Africa People Politics

African Union to tackle humanitarian, political crises

Leah NgariMay 26, 2022May 26, 2022

According to the African Union, of the more than 30 million internally displaced Africans, more than 10 million are children aged under 15.

President: 11 babies killed in Senegal hospital fire
Africa Lifestyle & Health People

President: 11 babies killed in Senegal hospital fire

Leah NgariMay 26, 2022May 26, 2022

The city’s mayor Demba Diop said “three babies were saved”.

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd
Features International Politics

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Rais Joe Biden ameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya George Floyd kwa kutia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano  wa maombi ya kitaifa
East Africa Features People Politics

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano wa maombi ya kitaifa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi, Uhuru na Ruto walikaa kwa utulivu kila mmoja akishiriki kwenye meza yake tofauti.

Polisi Tanzania yamshikilia mtuhumia wa ubakaji wa watoto watatu.
Africa East Africa

Polisi Tanzania yamshikilia mtuhumia wa ubakaji wa watoto watatu.

Asia GambaMay 26, 2022May 26, 2022

Mtuhumiwa anadaiwa kufanya ukatili huo Februari mwaka huu wakati watoto hao walipokuwa wameenda kuchanja kuni katika msitu wa Serikali wa Rwendimi

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo