• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 9, 2022

Takriban Wakenya 250,000 waliofariki wapatikana katika sajili ya bodi ya uchaguzi
Features Politics

Takriban Wakenya 250,000 waliofariki wapatikana katika sajili ya bodi ya uchaguzi

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Takriban wapiga kura nusu milioni zaidi walipatikana kuwa wamejisajili mara mbili na zaidi ya watu 226,000 walisajiliwa kwa kutumia stakabadhi ambazo si zao.

Thailand, nchi ya kwanza ya Asia kuhalalisha bangi
Asia Features Lifestyle & Health

Thailand, nchi ya kwanza ya Asia kuhalalisha bangi

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Wizara ya afya ya umma ilitangaza Februari kwamba bangi itaondolewa kwenye orodha ya mihadarati iliyopigwa marufuku, sheria hizo zilianza kutekelezwa Alhamisi.

Alawiti mtoto wa miaka mitano kutokana na imani za kishirikina
Africa East Africa

Alawiti mtoto wa miaka mitano kutokana na imani za kishirikina

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ali Makame Hamad, amesema tukio hilo lilitokea Juni 3, 2022, ambapo mtuhumiwa  anadaiwa kumvizia binti huyo njiani na kumkamata, kisha kutekeleza kitendo chake kwenye vichaka vilivyopo jirani na njia.

Bondia wa Afrika Kusini afariki dunia kutokana na jeraha la ubongo
Africa Sports

Bondia wa Afrika Kusini afariki dunia kutokana na jeraha la ubongo

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Bondia wa uzani mwepesi Simiso Buthelezi, 24, alifariki dunia baada ya kuvuja damu kwenye ubongo kufuatia pambano lililofanyika mwishoni mwa juma mjini Durban

Mawaziri wa Jinsia kutoka SADC wanatarajia kukutana kesho nchini Malawi
Africa East Africa

Mawaziri wa Jinsia kutoka SADC wanatarajia kukutana kesho nchini Malawi

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Kwa mujibu wa taarifa ya Sekretarieti ya Sadc kwa vyombo vya habari jana, mkutano huo utakaokuwa chini ya uenyekiti wa Waziri wa Jinsia, Maendeleo na Ustawi wa Jamii wa Malawi, Patricia Kaliati, utafuatilia utekelezaji wa Itifaki ya jumuiya hiyo kuhusu jinsia na maendeleo kwa kuzingatia nafasi ya wanawake katika siasa na utoaji uamuzi.

Wanajihadi waua 23 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Africa Features

Wanajihadi waua 23 kaskazini mashariki mwa Nigeria

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Machafuko ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009, kulingana na UN.

Watoto wanaokufa wanaakisi hali mbaya ya ukame nchini Somalia
Africa Features Lifestyle & Health

Watoto wanaokufa wanaakisi hali mbaya ya ukame nchini Somalia

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Mvua ilipokosa kunyesha kwa msimu wa nne mfululizo mwezi uliopita, mashirika ya misaada ya UN walionya kuwa njaa huenda ikakumba nchi za Somalia, Kenya na Ethiopia

Shauri la Tozo za Miamala lililofunguliwa na LHRC laondolewa mahakamani
Africa East Africa

Shauri la Tozo za Miamala lililofunguliwa na LHRC laondolewa mahakamani

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Uamuzi huo ulifikiwa mahakamani hapo chini ya jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji John Mgeta kwa kusaidiana na Jaji Edwin Kakolaki na Jaji Zahra Maruma.

WHO yasema watoto 38 wanauhitaji wa kupandikizwa Ini
Africa East Africa

WHO yasema watoto 38 wanauhitaji wa kupandikizwa Ini

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema hayo jana akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi, mkutano ambao huwa mahsusi kwa ajili ya kutoa ripoti kuhusu mwelekeo wa ugonjwa wa Corona taarifa nyingine. 

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo