• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2022

Nyani apora mtoto mchanga wakati akinyonyeshwa na mama yake
Africa East Africa

Nyani apora mtoto mchanga wakati akinyonyeshwa na mama yake

Asia GambaJune 20, 2022June 20, 2022

Kundi la nyani waliopo katika hifadhi ya Gombe iliyopo kijiji cha Mwamgongo mkoani Kigoma, limevamia nyumba ya Shayima Faya (20) na kumpokonya mtoto mchanga wakati akimnyonyesha na kutokomea naye porini ambapo baadaye mtoto huyo alifariki dunia.

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali
Africa Features Politics

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Afisa mmoja wa eneo hilo alilaumu mashambulizi hayo kwa wanajihadi na kusema idadi ya waliouawa walikuwa 24, akisema mauaji hayo yalitokea Ebak, takriban kilomita 35 kaskazini mwa Gao, mji mkuu wa mkoa huo.

Boy killed, three wounded in shooting after Washington concert
International People

Boy killed, three wounded in shooting after Washington concert

Aska MakoriJune 20, 2022June 20, 2022

It was not clear if the teenager was targeted but before the incident police had seized two illegal firearms nearby and were chasing another individual with an illegal firearm

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia
Business / Finance East Africa Features Politics

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Somalia imekuwa soko muhimu la uuzaji wa nje wa miraa nchini Kenya tangu Uholanzi na Uingereza zilipoweka marufuku mwaka wa 2012 na 2014 mtawalia

Ukraine says lost control of Severodonetsk village
Europe War & Conflicts

Ukraine says lost control of Severodonetsk village

Aska MakoriJune 20, 2022July 2, 2024

Russia’s capture of the hamlet with a pre-war population of around 1,000 people, is the latest  around Severodonetsk, where Moscow’s army has met tough Ukrainian resistance.

Armed men kill at least 20 civilians in Mali
Africa

Armed men kill at least 20 civilians in Mali

Aska MakoriJune 20, 2022June 20, 2022

Jihadist fighters took advantage of their rebellion to launch their own offensive, threatening the capital Bamako in the south until a French-led force pushed them back in 2013.

Kenya’s ‘MIRAA’ producers eager to resume exports to Somalia
Africa East Africa

Kenya’s ‘MIRAA’ producers eager to resume exports to Somalia

Mwanzo EditorJune 20, 2022June 20, 2022

Mogadishu initially banned air cargo in March 2020 due to the coronavirus pandemic, but diplomatic tensions between Kenya and Somalia have kept the ban in place even as other Covid-19 restrictions have been lifted.

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi
Africa Features People Politics

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Polisi wa Senegal waliziba njia ya kuelekea nyumbani kwake kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko baada yake kuitisha maandamano siku ya Ijumaa, wakati nchi hiyo ikiwa katika mvutano wa kabla ya uchaguzi.

Maumivu yaja kwa watumiaji wa daraja la Tanzanite
Africa East Africa

Maumivu yaja kwa watumiaji wa daraja la Tanzanite

Asia GambaJune 17, 2022June 17, 2022

Serikali imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha – Mlandizi – Chalinze – Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa – Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo