• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 4, 2022

DR Congo yatangaza mwisho wa mlipuko wa hivi punde wa Ebola
Africa Features Lifestyle & Health

DR Congo yatangaza mwisho wa mlipuko wa hivi punde wa Ebola

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Ebola ni homa ya virusi inayosababisha kuvuja damu ambayo iligunduliwa kwa mara ya kwanza Afrika ya kati mwaka wa 1976.

Kigogo TPA atumbuliwa
Africa East Africa

Kigogo TPA atumbuliwa

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Rais Samia amechukua uamuzi huo saa chache baada kusema haridhishwi na kasi ya utendaji wa bandari za Tanzania na kuwataka watendaji waache siasa na longolongo wakati wa utekelezaji majukumu yao

Somalia yatoa leseni za kwanza kwa benki za kigeni
Africa Features Politics

Somalia yatoa leseni za kwanza kwa benki za kigeni

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Benki inayomilikiwa na serikali ya Banque Misr ya Misri na Ziraat Katilim ya Uturuki zitakuwa benki za kwanza za kimataifa kufanya kazi nchini humo,

Misri: Watalii wauawa baada ya kushambuliwa na papa
Africa Features

Misri: Watalii wauawa baada ya kushambuliwa na papa

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Wanawake wawili, mmoja raia wa Austria na mwingine raia wa Romania, waliuawa katika shambulio la papa katika bahari ya Red Sea

Viongozi wa ECOWAS waiondolea Mali vikwazo
Africa Features People Politics

Viongozi wa ECOWAS waiondolea Mali vikwazo

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Mali ilifanya mapinduzi Agosti 2020 na Mei 2021, ikifuatiwa na Guinea Septemba 2021 na Burkina Faso mwezi Januari

Nigeria:  Polisi waokoa makumi ya watu wakiwemo watoto waliokuwa wakizuiliwa kanisani
Africa Features

Nigeria: Polisi waokoa makumi ya watu wakiwemo watoto waliokuwa wakizuiliwa kanisani

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Polisi wa Nigeria wamewaokoa makumi ya watu, wakiwemo watoto, kutoka kwenye chumba cha chini cha kanisa ambako walikuwa wameambiwa wangojee kile walichoamini kungekuwa ujio wa pili wa Kristo

Mwanaume mmoja nchini Tanzania akatwa sehemu za siri akiwa kwenye kilabu cha pombe
Africa East Africa

Mwanaume mmoja nchini Tanzania akatwa sehemu za siri akiwa kwenye kilabu cha pombe

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Tukio la mwanaume huyo kukatwa nyeti lilitokea Juni 28, 2022 usiku ambapo inadaiwa kuwa alikuwa kwenye kilabu cha pombe za kienyeji na alipotoka nje kujisaidia akakutana na watu hao na kumkata kwa kutumia kisu.

Upotoshaji wamkera Rais wa Zanzibar Dk. Mwinyi
Africa East Africa

Upotoshaji wamkera Rais wa Zanzibar Dk. Mwinyi

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Rais Mwinyi alisema baada ya serikali kuingia makubaliano na kampuni ya kimataifa ya Dnata kuendeshwa uwanja wa ndege kisasa, yamekuwapo maneno mengi ya upotoshaji.

Miili ya familia ya watu sita waliouawa wazikwa usiku
Africa East Africa

Miili ya familia ya watu sita waliouawa wazikwa usiku

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Miili hiyo imezikwa kwa pamoja jana Jumapili Julai 3, 2022 , majira ya usiku, huku vilio na simanzi zikitawala

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo