• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: September 2022

JTI kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania    
Africa East Africa

JTI kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania    

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Ahadi hiyo imetolewa jana Jumatatu, Septemba 26, 2022 na Rais na Mtendaji Mkuu wa JTI, Masamichi Terabatake mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, aliyetembelea ofisi zao, ili kuwahakikishia utekelezaji wa mazungumzo yaliyofanyika wakati wa mkutano wa TICAD 8, jijini Tunis, Agosti, mwaka huu.

Saratani ya mlango wa kizazi yaendelea kuwa tishio kwa nchi za Afrika.
Africa East Africa

Saratani ya mlango wa kizazi yaendelea kuwa tishio kwa nchi za Afrika.

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Waziri Ummy amesema, miongoni mwa hatua ambazo zimechukuliwa kukabili ugonjwa huo, Serikali imeiomba jumuiya ya kimataifa kushiriki katika mapambano ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Meet the only man Eliud Kipchoge will take water from during a race
Africa East Africa Europe Sports

Meet the only man Eliud Kipchoge will take water from during a race

Joan WafulaSeptember 26, 2022

Meet Claus Henning, the only man Eliud Kipchoge will take water from during a race.

Ahukumiwa kuchapwa viboko 6 kwa kosa la ubakaji
Africa East Africa

Ahukumiwa kuchapwa viboko 6 kwa kosa la ubakaji

Asia GambaSeptember 26, 2022September 26, 2022

Mahakama ya mkoa Manyara imemhukumu John Emmanuel (18) mkazi wa kijiji cha Malangi wilayani Babati kuchapwa viboko sita (6) baada ya kukutwa na kosa la ubakaji.

Watu 11 wameuawa na wezi wa mifugo kaskazini mwa Kenya
Africa East Africa Environment

Watu 11 wameuawa na wezi wa mifugo kaskazini mwa Kenya

Joy CheptooSeptember 26, 2022September 26, 2022

Takriban watu 11, wakiwemo polisi wanane na chifu wa eneo hilo, wameuawa kaskazini mwa Kenya na wezi wa mifugo

Bisimba:Serikali ingekuwa inafanya kila kitu hata asasi za kiraia zisingekuwepo
Africa East Africa

Bisimba:Serikali ingekuwa inafanya kila kitu hata asasi za kiraia zisingekuwepo

Asia GambaSeptember 26, 2022September 26, 2022

Dkt. Kisimba amesema, asasi za kiraia zina mchango mkubwa katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na hata kuisaidia serikali katika kuharakisha maendeleo kwa wananchi kwa kutekeleza majukumu ambayo pia yangeweza kufanywa na serikali.

Al-Shabaab suicide attack kills 7 in Somalia
Africa Features

Al-Shabaab suicide attack kills 7 in Somalia

Mwanzo EditorSeptember 26, 2022September 26, 2022

A suicide attack claimed by the Somali Islamist militant group Al-Shabaab killed at least seven people and injured nine others in Mogadishu on Sunday.

Eliud Kipchoge breaks own World Marathon Record at the Berlin Marathon 2022
Africa East Africa Europe International People Sports

Eliud Kipchoge breaks own World Marathon Record at the Berlin Marathon 2022

Joy CheptooSeptember 25, 2022September 25, 2022

Eliud Kipchoge has beaten his own world marathon record by 30 seconds, running 2hr 01min 9sec in Berlin on Sunday. 

Misri inazingatia ombi la kuandaa Olimpiki ya 2036
Africa International Sports

Misri inazingatia ombi la kuandaa Olimpiki ya 2036

Joy CheptooSeptember 25, 2022September 25, 2022

Misri inapanga kutuma maombi ya kuandaa Michezo ya Olimpiki ya 2036, waziri wa michezo Ashraf Sobhi alisema Jumamosi wakati wa mapokezi ya rais wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki Thomas Bach huko Cairo.

Rais wa Equatorial Guinea kuwania muhula wa sita
Africa Features People Politics

Rais wa Equatorial Guinea kuwania muhula wa sita

Joy CheptooSeptember 24, 2022September 24, 2022

Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ambaye ameiongoza Equatorial Guinea kwa zaidi ya miaka 43, atawania muhula mpya katika uchaguzi wa urais

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo