• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: January 2023

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanaharakati wa LGBTQ Edwin Chiloba kushtakiwa
East Africa People

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanaharakati wa LGBTQ Edwin Chiloba kushtakiwa

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Jacktone Odhiambo, ambaye alikiri kumuua Edwin Chiloba kwa madai ya kutokuwa mwaminifu katika uhusiano wao atakabiliwa na mashtaka ya mauaji

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye
East Africa

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha

Watu 40 wamefariki katika ajali ya basi la Pakistan
Asia People

Watu 40 wamefariki katika ajali ya basi la Pakistan

Joy CheptooJanuary 29, 2023January 29, 2023

Inahofiwa kuwa huenda dereva alipitiwa na usingizi

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania
East Africa

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania

Joy CheptooJanuary 29, 2023January 29, 2023

Shirika hilo la ndege, ambalo linamilikiwa na Air France KLM, liliomba msamaha kwa serikali ya Kenya, likisema ushauri huo “umekusudiwa kwa wateja wetu nchini Tanzania pekee”.

Naibu rais wa Kenya ashinikiza kuwa na eneo moja la starehe katika kila mji kupambana na ulevi
East Africa People Politics

Naibu rais wa Kenya ashinikiza kuwa na eneo moja la starehe katika kila mji kupambana na ulevi

Joy CheptooJanuary 27, 2023January 27, 2023

Gachagua alisema unywaji wa pombe haramu umefikia viwango vya wasiwasi na unatishia kuondoa kizazi cha vijana

Jeshi la Polisi Tanzania lawaondoa hofu wananchi juu ya taarifa ya Ubalozi wa Marekani 
Africa East Africa

Jeshi la Polisi Tanzania lawaondoa hofu wananchi juu ya taarifa ya Ubalozi wa Marekani 

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2023 kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa hali ya ulinzi na usalama ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa Wananchi yanaendelea kudhibitiwa.

EAC yazindua rasmi misheni ya utayari wa Somalia kujiunga na jumuiya hiyo.
Africa East Africa

EAC yazindua rasmi misheni ya utayari wa Somalia kujiunga na jumuiya hiyo.

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jana imezindua rasmi misheni ya uhakiki ili kutathmini utayari wa ushirikiano wa Jamhuri ya Somalia kujiunga na Jumuiya hiyo.

Katekista adaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Njombe
Africa East Africa

Katekista adaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Njombe

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Simon Njavike (43) mkazi wa Mlangali wilayani Ludewa, mkoani Njombe, ambaye ni katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mlangali amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya wilaya hiyo akidaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 17.

Tanzania kurejea upya gharama za upandikizaji mimba.
Africa East Africa

Tanzania kurejea upya gharama za upandikizaji mimba.

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto, ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na bima ya afya kwa wote.

Tanzania opposition leader Tundu Lissu returns from exile
East Africa People Politics

Tanzania opposition leader Tundu Lissu returns from exile

Mwanzo EditorJanuary 25, 2023January 25, 2023

Lissu, who was shot 16 times in 2017 and has spent most of the years since in Belgium, arrived on a flight from Brussels via Addis Ababa

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo